Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 16,025
- 27,366
Mtu alilambishwa nyasi
Parody hiyo account, mnaokota tu vitu bila hata kuangalia.
Kwenye hii window sidhani kama itawezekana. Hapa.ni kufanya kama kwa Melo abakie hukohuko kwa mkopo then summer aje. Ila tatizo ni tax ambayo ni around €40mil. Kwangu mimi Enzo tunamuhitaji zaidi ya Caseidokama hatutamchukua Caicedo basi plan murua ya kumteka nyara Enzo deadline hour ipo
Hii sio Parody mkuu, imetrend sana hii ni wewe tu uko nyuma ya habari.Parody hiyo account, mnaokota tu vitu bila hata kuangalia.
Arsenal wangetumia mwanya wa Caicedo kugomea mazoezi na kuombwa auzwe wakamilishe mchezo haraka.Tunasubiri tutumie style na speed ya Mudryk ya counter attack. We subiri uone
Hii sio Parody mkuu, imetrend sana hii ni wewe tu uko nyuma ya habari.
Hiyo wametoa kwenye account yake ya instagram ni ya kweli kabisana ndio iliyowafanya Brighton leo wamsimamishe mazoezi hadi dirisha lifungwe
Screenshot ya Intagram yake hii hapa na link pia
View attachment 2498419
Sisi injury zinatucost hata hao wachezaji wengi tuliowasajili ni kutokana na kuwa na injuries nyingi ukiacha na kuwa na project.Kusajili na kufanya vizuri Ni vitu viwili tofauti ndio maana Bado mpo Nafasi ya 10 na mnaweza kushuka zaidi
Timu haina mfumo unaoeleweka, unaposajili mchezaji inabidi ujue mchezaji anaenda kucheza mfumo gani? Vinginevyo utamisplofile wachezaji mwisho wa siku 10th.Kusajili na kufanya vizuri Ni vitu viwili tofauti ndio maana Bado mpo Nafasi ya 10 na mnaweza kushuka zaidi