Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mambo sio mabaya
Wakina Viveli wako kazini kuhakikisha Enzo anatua darajani at all costs

1675019080126.png
 
Mambo sio mabay
Wakina Viveli wako kazini kuhakikisha Enzo anatua darajani at all costs
Habari kama hii inafariji Sana huyu ndio funga kazi huyu ndio mchezaji tunayemuhitaji zaidi kuliko tunaohusishwa nao cos kwa aina ya uchezaji wetu tunahitaji midfielder ambaye atakuwa anapiga forward pass na kuchua mipira chini kupandisha juu kuna wakati tunawalaumu mabeki wetu wanapiga back pass nyingi kwasababu wanakosa aina ya midfielder ya mtu kama Enzo anayeweka kuwapa bima ya ulizi pamoja kuwa kiunganishi wa Kati na safu ya mbele.Jorginho ni mchezaji mzuri lakini ni muoga wa kupiga forward passess ndio maana umpira unarudi nyuma Mara nyingi, kama tukimpata Enzo atatufaa Sana na kingine jamaa anauwezo wa kupiga long pass na kushooting
 
Habari kama hii inafariji Sana huyu ndio funga kazi huyu ndio mchezaji tunayemuhitaji zaidi kuliko tunaohusishwa nao cos kwa aina ya uchezaji wetu tunahitaji midfielder ambaye atakuwa anapiga forward pass na kuchua mipira chini kupandisha juu kuna wakati tunawalaumu mabeki wetu wanapiga back pass nyingi kwasababu wanakosa aina ya midfielder ya mtu kama Enzo anayeweka kuwapa bima ya ulizi pamoja kuwa kiunganishi wa Kati na safu ya mbele.Jorginho ni mchezaji mzuri lakini ni muoga wa kupiga forward passess ndio maana umpira unarudi nyuma Mara nyingi, kama tukimpata Enzo atatufaa Sana na kingine jamaa anauwezo wa kupiga long pass na kushooting
Ila bado tutahitaji natural defensive midfielder kwa sababu Enzo stats zake nyingi ziko vizuri kwa upande wa offensive department. Type ya Makelele mchanga tutamuhitaji dirisha lijalo
 
Ila bado tutahitaji natural defensive midfielder kwa sababu Enzo stats zake nyingi ziko vizuri kwa upande wa offensive department. Type ya Makelele mchanga tutamuhitaji dirisha lijalo
Enzo anakaba Sana mkuu labda ukumfuatilia vizuri kombe la dunia sema ni aina ya midfielder kama Kante atulii sehemu Moja atakuwa chini, atamove Kati na akipata upenyo zaidi anasaidia mbele
 
Enzo anakaba Sana mkuu labda ukumfuatilia vizuri kombe la dunia sema ni aina ya midfielder kama Kante atulii sehemu Moja atakuwa chini, atamove Kati na akipata upenyo zaidi anasaidia mbele
Enzo sio kwamba hakabi, ila ukilinganisha nauwezo wake kwenye offensive kwenye defending ziko nyingi kwenye 70's, 50, 40, 30%. Mfano loose ball recovering iko 43% interception 34.5%
1675017640176-png.2499570



Spesifically cheki hizi hapa, lazima acheze na Natural Defensive midfiler, Caicedo kwenye upande wa defending ni mzuri kidogo kuliko Enzo, yeye ana 50-60 % parameters za defending
1675021852262.png
1675022096334.png
 
"Ukishaona co-owner Behdad Eghbali and Director of Global Talents and Transfers Paul Winstanley wamepanda ndege pamoja kwenda Ureno nakumbuka walivyopanda ndege kwenda Uturuki kukamilisha deal la Mudryk huku anga ikijaa taarifa kwamba Mudryk anaenda Arsenal. Hawa jamaa hawapandi ndege bure. Deal Done"
1675022535797.png

1675022847158.png
 
Ben Jacobs anasema kwa sababu Benefica wana game siku ya Jnne ambayo ndi deadline day wangependa deal limalizwe kesho jumatatu. Kwa hiyo tutegemee Enzo atakuja kesho London kupimwa. Game yetu na Fulama atacheza??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom