Huo ndiyo ukweliPengine ndio makubaliano ya mauzo labda isingekua ivyo biashara ingekua mgumu kufanyika
Gusto alikuwa ni mchezaji wao muhimu kwenye ti.u hasa kwa kumalizia msimu. Kocha hakuwa tayari kumpoteza kama walivyo makocha wote hawataki kumpoteza mchezaji muhimu katikati ya msimu. Uongozi walimuahidi hivyo. Anyway it is good for both parties. Tutabanana na Azpi na Chalobah wakati Reece yuko majeruhi hadi msimu uishe. Ila ukweli ni kwamba msimu ujao tutakuwa na bonge la timu hasa Kante akiwa mzima na Enzo ak8sajiliwa.Pengine ndio makubaliano ya mauzo labda isingekua ivyo biashara ingekua mgumu kufanyika
Mimi binafsi siungi mkonoWampe anachotaka na uhakika kama anaondoka tutarudi kwenye story zilezile za kina KDB na Salah
Hivi mfano ukamuuza mount ukamsajili jao felix akawa kama no 10 una hasara gani? Inamaana hapo mbele itakuwaMimi binafsi siungi mkono
Labda kama ni 150,000/week
Ila 250,000/week anayolipwa james NO
James ni game changer na anastahili kabisa hiyo
Mount ni mzuri ila hana consistence na ndio anayesababisha timu inaingia sokoni
Ni salama kwa timu akilipwa sio zaidi ya 150K kama tena ingekuwa 120k ingekuwa bora zaidi. Sasa hivi analipwa 80k
Itakuwa vyema ukijitambulisha ili tujue tunakabiliana na nani. We unakuja na kubweka tuu kama mbwa koko. Eh!Oyaaa humu huwa mnajadili nini?? Au huwa mnakunywa kahawa kimyakimya
Boss nakusalimia....sema boss wa Chelsea kalewa, pombe zikiisha atafute kocha muanze kusumbua km Sisi, nyie wachezaji mnaoItakuwa vyema ukijitambulisha ili tujue tunakabiliana na nani. We unakuja na kubweka tuu kama mbwa koko. Eh!
Kama ambavyo saiv BHA wanabana kwa CaicedoGusto alikuwa ni mchezaji wao muhimu kwenye ti.u hasa kwa kumalizia msimu. Kocha hakuwa tayari kumpoteza kama walivyo makocha wote hawataki kumpoteza mchezaji muhimu katikati ya msimu. Uongozi walimuahidi hivyo. Anyway it is good for both parties. Tutabanana na Azpi na Chalobah wakati Reece yuko majeruhi hadi msimu uishe. Ila ukweli ni kwamba msimu ujao tutakuwa na bonge la timu hasa Kante akiwa mzima na Enzo ak8sajiliwa.
Hawawezi kufikia paundi 250k ila at least wamvute mpaka 180-190k hapo kama ataonyesha kiwango kizuri anaweza kurenew contract hata misimu miwili kabla ya huu kuisha na akapata mshahara mzuri zaidi.Mimi binafsi siungi mkono
Labda kama ni 150,000/week
Ila 250,000/week anayolipwa james NO
James ni game changer na anastahili kabisa hiyo
Mount ni mzuri ila hana consistence na ndio anayesababisha timu inaingia sokoni
Ni salama kwa timu akilipwa sio zaidi ya 150K kama tena ingekuwa 120k ingekuwa bora zaidi. Sasa hivi analipwa 80k
Ndio maana na yeye anaforce transfer ila kwa namna nionavyo naona Arsenal ndio watamchukua maana toka ile bid ya £ 55M ikataliwe tumekaa kimya na Arsenal wameweka £ 60M.Mshahara wa Caicedo wa mwaka uko sawa na mshahara wa wiki wa Cucurella
Duniani hakuna usawa na bado hao washenzi wanamzuilia asiende kwenye nchi ya ahadi
Kumbe ndio maana Caicedo analia na kwa sauti ya umaskini
Miaka mitano analipwa Paundi 910,000
Kwa mwaka analipwa paundi 182,000
Kwa wiki ni sawa na 3,500
Wakati akienda Arsenal au Chelsea atalipwa sio chini ya paundi 100,000/wiki ambayo ni sawa na mara 30 ya mshahara anaolipwa Brighton
Huyu dogo aje Chelsea tumtoe kimaisha,
![]()
![]()
Tunasubiri tutumie style na speed ya Mudryk ya counter attack. We subiri uoneNdio maana na yeye anaforce transfer ila kwa namna nionavyo naona Arsenal ndio watamchukua maana toka ile bid ya £ 55M ikataliwe tumekaa kimya na Arsenal wameweka £ 60M.
Hapo BHA wanameikataa ya Arsenal ili kusikilizia Chelsea atakujaje maana sisi ndio tuna shida zaidi ya kiungo mkabaji