Sisi injury zinatucost hata hao wachezaji wengi tuliowasajili ni kutokana na kuwa na injuries nyingi ukiacha na kuwa na project.
List ya injuries wetu
1.James
2.Kante
3.kovacic
4.Benchilwel
5.Pulisic
6.Zakaria
7.sterling
Hawa ni wachezaji wetu na wote wapo hospital ulitegemea tuwe kwenye nafasi gani? Wing wa kulia na kushoto zimeumia Pulisic na sterling upande wa Pulisic hatuna mbadala atlest kwa sterling kuna Ziyech , ukija upande wa james hatuna mbadala kabisa zaidi ya kuwa na babu Alzipilicueta, kiungo Cha Kati amebaki Jorginho hakuna option na akiumia huyo kitachofanyika ni kubadilisha wachezaji kwenye nafasi zao halisi ili wacheze kiungo Cha Kati kwa namna hiii ndio maana tumeingia sokoni na target yetu ya mwisho ni kusajili kiungo Cha Kati. Na sisi tiny yetu imejenga na hawa wachezaji watatu wakiumia hao tu chelsea lazima uyumbe Sana na hao ndio waliochangia kututoa kwenye reli ya kuwania ubingwa msimu ulipita baada ya kupata injury ni Reece James, Ngolo Kante na Benchillwel ndio maana boss anasajili kwenye wachezaji wamaana kwenye nafasi zao ili hata wakiumia kusiwe na daraja kubwa Kati yao na wao wapya moto uwe ule ule