Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tactics za Chelsea na Boehly ni kuhusishwa na kila mchezaji mzuri ili bei ipande, ili wale wapenda raisi wakienda huko washindwe kwa sababu watakuwa wakiamni Chelsea watarudi na huko mbeleni Mungu ndie ajuaye Boehly anapanga nini.
 
Hivi vitimu vidogo vikiwang'anmg'ania wachezaji wanaotaka kwenda kutimiza ndoto zao kwenye big teams ndio zinapoporomokea hapo

Leicester city baada ya kuwakatalia akina Madson na Tileman imekuwa ya hovyo
Brighton nao wanafuata, Moises Caicedo yuko na msisimko wa kwenda Arsenal au Chelsea lakini wanamkatalia, kinachofuata form yake inadrop kwa sababu ya lundo la mawazo na baadaye ikifika wakati wa kusaini mkataba atakataa, halafu anaondoka bure bure kabisa.

Nasema hivi kwa sababu motive kubwa ya hawa dogo kucheza vizuri ni kuvutia timu kubwa, mishahara mikubwa na makombe makubwa. Sasa hiyo fursa ikifika wanawekewa ngumu

Hata Enzo utaona tu, atakuja kuuzwa bei chee au aondoke bure
 
Hamjambo?
JamiiForums-496235102.jpg
 
Chelsea preferred to remain focused on top target and long-term rather than switch to a short-term fix. [@Matt_Law_DT
 
Oya kwanini asingesajiliwa kwenye dirisha Hili ili achexe msimu Huu kuliko kusubiri msimu ujao maana Reece james ni injury prone ebu tupeni ufafanuzi
 
Tetesi ni kwamba Liver wanamtaka
Anaondoka kwa mazingira ya kushindwa kukubaliana malipo, yeye kaweka benchmark akina James
Boehly vision yake ni kupunga wachezaji wanaolipwa sana na hawaisaidii timu kupata matokeo
Akikubali mkataba atabaki ila akikataa atauzwa kabla contract yake haijaisha asiondoke bure
Wampe anachotaka na uhakika kama anaondoka tutarudi kwenye story zilezile za kina KDB na Salah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom