juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
Recruitment ya BHA[emoji91][emoji91][emoji91][emoji119][emoji119][emoji1787]View attachment 2490426
Recruitment ya BHA[emoji91][emoji91][emoji91][emoji119][emoji119][emoji1787]View attachment 2490426
Hapana, anajaribu kuonesha Silva age yake na msim uliopita kacheza game nyingi tu katika kiwango kile kile. Na msimu huu yuko vile vile tena ndio anazidi kuperform.Ulimaanisha Mount Au!
Ziyech vipYaani weka hawa
Sioni wachezaji wenye quality zaidi yya hao watatu kwa wale wa zamani
- Silva
- Kante
- James
Na kipimo ni ujio wa Badiashile na Mudryk
Waliosajiliwa kiangazi
January signings
- Sterling - Avarage- kashachuja
- Cucurella - hatumii akili
- Koulibally - mfumo umemkataa
- Wesley Fofana - Hajapata muda wa kucheza
- Chunkwuemeka - mzito wa kuamua
- Aubameyang - yuko yuko tu
- G Slonina - Hajapewa nafasi
- Denis Zakaria - Just Avarage - japo anaonyesha akizoea ana composure nzuri na mpira kuliko viungo tulio nao
So to say, line up yetu ya first 11 ni
- Mudryk - very supperb - pace 100%, akili 100%, speed 100%, ball controll 100%, passing 100%
- Badiashile - Supperb
- Datro Fofana - bado hajapata muda wa kutosha kuonyesha uwezo wake
- Madueke - Bado hajacheza
- Santos - Bado
- Joao Felix - Supperb
---------------- Striker bado--------------------------
Mudryk ----------------- Felix------------------- Bado
------------- Bado --------------- Kante ------------
Bado ----------- Badiashile -------- Silva --------- James
---------------- Kipa bado--------------------------
Hii line up inaonyesha jinsi gape la usajili lilivyo kubwa
Winger wa kulia Madueke anaweza kupunguza uhitaji
LB sikumuweka Chilwell kwa sababu anajivuta sana kurudi kwenye form akitoka majeruhi tofauti na James Jembe
So wacheza class tuitawahitaji
Kipa yule wa Brentford ni mzuri sana, kwenye saves tu msimu huu ndie anaongoza
Labd akwenye LB Hall akilifanyia kazi eneo la maamuzi ya haraka sehemu zilziobaki ana composure nzuri
Kwenye Striker labda Fofana anaweza kutupunguzia mzigo wa kwenda sokoni hapo
Kwa sasa bado yuko very intelligent na sharp kama Mudryk, akifeli atapewa replacementHapana, anajaribu kuonesha Silva age yake na msim uliopita kacheza game nyingi tu katika kiwango kile kile. Na msimu huu yuko vile vile tena ndio anazidi kuperform.
Njok sasa kwa mount kusema kigezo sijui kacheza game nyingi msimu uliopita ndio kifanye ashuke performanc yake hapana
Hivi mnasemaje kacheza vizur, wakat alikua anapokea mipira kutoka backline yupo mwenyewe then anairudisha pasi kama ilivyo ilipotoka. Ni mchezaji wa hovyo sana. cjajua kw nini kova hajaanza leo?Performance ya Jorginho leo vs Liverpool
Kiujumla leo kacheza vizuri ila isitudanganye, huyu auzwe tu kwa sababu hii ya leo ni danganya toto, mechi inayofuata back to deffault
- Touches - 79
- Passes - 56
- Key Passes - 1
- Interceptions - 4
- Ground Duels Won - 8/10
- Tackles - 5
- Ball Recoveries - 9
- Blocks - 1
- Fouls Won - 2
![]()
Wewe nenda Arse88 sisi tuachie Mudryk tutajenga naye timu hadi iwe na makaliMudryk kw dk. chache alizocheza ni mchezaji mzuri sana anatoa pass kw haraka na za uhakika. Mchezaji tumepata. Ila namuonea huruma bora angeenda zake Arse88 mana atakuja kuonekana mchezaji wa hovyo sababu anacheza na matakataka.
Kocha pia nahis ana uwezo mdogo, ndio nn kutuwekea chekwiemeka wakat kuna Datro.
Jibu konkiWewe nenda Arse88 sisi tuachie Mudryk tutajenga naye timu hadi iwe na makali
Unawashwa eeh?Wewe nenda Arse88 sisi tuachie Mudryk tutajenga naye timu hadi iwe na makali