Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu Christian Falk simuamin tena na hizi habar zake ni kama Nizaar Kinsela.

Nakumbuka wakat Havertz anakuka aliwah sema mount amechukia ujio wa havertz[emoji1787][emoji1787] kuanzia hapo naona kila habar yake ni chache sana zinakuwa reliable n zinakuwa reported na hawa tier 1
Na ogopa sana reporter anayeripoti taarifa za timu moja tu. Huyu Christian Falk anaripoti sport news za Bayern Munich tu ni kama yule wa Barcelona anayeitwa Gerard Romero. Wengi wao ni waongo na utakuta hapo akiripoti timu zingine ni kwa kupotosha kwa faida ya timu yake. Kumbuka pia Bayern walikuwa wanamtaka sana Havertz na hadi sasa wanmvizia tu akikosa amani Chelsea wamchukue
 
Ukweli ni kwamba dirisha la kiangazi tutamuhitaji pia kipa no. 1
Edourd Mendy na Kepa hawatatufaa kwenye hiyo nafasi

Kepa naona kafanya vizuri tu ili apate nafasi ya kwanza, Kepa akishatulia kwenye nafais hiyo anarudi yule Kepa asiyefaa, ndio tatizo la Kepa

Chelsea kwa sajili ilizofanya itamuhitaji na kipa ambaye ni World Class. Sasa sijui huyo kipa wa Brendford anaweza kuwe ndie tumtarajiaye au kuna mwingine?

Title contender lazima akamilike kwenye idara zote
 
Ben Jacobs anaripoti kuwa Chelsea wamesubmit £65m kwa ajili ya kumsajili Moises Caicedo dirisha hili. nao Brighton wamegoma wanataka £75m

1674131867760.png
 
Ben Jacobs anaripoti kuwa Chelsea wamesubmit £65m kwa ajili ya kumsajili Moises Caicedo dirisha hili. nao Brighton wamegoma wanataka £75m

View attachment 2487613
Chelsea mnataka kutengeneza timu mpya kabisa ya vijana

Sema naona project yenu atakayekuja kutembea nayo vzr ,sio Potter ni kocha mwingine kabisa
 
Kuna jamaa kwachambua baadhi ya Midfilders na kuonyesha jinsi Caicedo kwa bei hiy hatatufaa
Hata Enzo Fernandez tulikuwa tunatupa pesa za bure kwa kudanyangwa na award ya WC

Kwa analyssis yakle hapo chini Orkun Kokcu ni mturuki mwenye miaka 22 tu anaichezea klabu ya Feyenoord kule kwa Wadachi. Scout team kwa nini wasiomuone mchezaji kama huyu.
Yeye ni mzuri kwenye Attacking zaidi ambayo ndio eneo mojawapo la hovyo kwa wachezaji tulionao wa kiungo

1674138675724.png


licensed-image
 
Madueke to chelsea deal done.

Tuhamie sasa kwa kiungo sasa tupate mmoja .

Fagio litakalopita summer litakuwa lakutoa virusi wote na wale wemye mishahara mikubwa ambayo haiendani na thaman ya pesa wanayopokea
 

Chelsea strike Madueke deal​

Chelsea have reportedly agreed a deal with PSV Eindhoven for Noni Madueke worth up to £34million.

According to ED in Holland, the 20-year-old English winger is poised to sign for the Blues.

View attachment 2487971
Ule upande wa ziyech hatimae tumepata mtu sasa[emoji16][emoji16]

Hizi sajili zikiperform, msim ujao tutahitaj marekebisho machache sana
 
Zoa zoa fc[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yatima Cheltako chelwowo cheljuma lokole
 
Ule upande wa ziyech hatimae tumepata mtu sasa[emoji16][emoji16]

Hizi sajili zikiperform, msim ujao tutahitaj marekebisho machache sana
Line up tarajiwa 4-2-3-1 yenye kuonyesha rotaion candidates

--------------------------- Fofana/Havertz------------------------------

Mudryk/Mount---------- Felix/Nkunku-----------Sterling/Madueke

-----------Kovacic/Caicedo--------------------Kante/Galagher-----------

Chilwell/Hall -----Badiashile/Colwill-----Gvardiol/Fofana------James/Denzel

--------------------------- Kepa/Mendy------------------------------
 
Date: 17 Jan 2023
Denzel Dumfries’ representative will reportedly be in the English capital this week, amid claims Chelsea could make a move for him.

According to GiveMeSport, the agent of the Inter Milan player is set land in London some time in the next few days, potentially to organise a transfer to ‘The Big Smoke’.

Of course, Dumfries’ delegate might just be doing a bit of sightseeing.

A touristic tour that could take him to the offices of Stamford Bridge, where his client reportedly has several interested suitors.

GettyImages-1246175207-scaled.jpg
 
Madueke to chelsea deal done.

Tuhamie sasa kwa kiungo sasa tupate mmoja .

Fagio litakalopita summer litakuwa lakutoa virusi wote na wale wemye mishahara mikubwa ambayo haiendani na thaman ya pesa wanayopokea
Uchezaji wake umefanana kidogo na Allan Saint-Maximin wa Newcastle
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom