Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Romelu Lukaku is facing an extremely uncertain future amid claims his performances are ‘throwing’ Inter Milan into ‘despair’, with the striker also suffering injury woes.
Kuna kila dalili kuwa Inter hawatakubali parmanent deal la Lukaku Bolingoli kwa sababu performance yake imeshuka mno. Amekuwa ni mtu wa maneno mengi bila performance.

Sasa huyu kiangazi kijacho tunaye hapa darajani, mzigo huo utatua tena na huku akitangaza waziwazi anaipenda Inter tu

Tangu arudi inter pamoja na majeruhi kafanikiwa kufunga goli moja tu na assist moja katika mechi 6

0_Romelu-Lukaku.jpg
 
With due respect nimemzungumzia Boehly kabla ya hao uliowataja. Maoni yako kwa kweli yatakuwa na nyama njema hao wakianza kazi na wasipoingiliwa.

Kwa sababu kuna vitu viwili tofauti kabisa hapo
  1. Kuna kuwasajili hao jamaa wazuri kabisa NA
  2. Kuwapa uhuru wa kufanya kazi bila kuingiliwa
Hofu yangu kilichomfukuza TT isije ikawaondoa na hao mabwana uliowataja because of the kimbelembele cha Boehly. God forbid hicho kisitokee.
Ndo nachojaribu kukuonyesha kuwa Roman aliweka kina marina ambao Kwa kiasi kikubwa walitufelisha kwenye baadhi ya sajili...usajili WA maana tuliofanya nafikiri ule msimu tunamleta fabregas, Costa, Felipe luiz..n.k. Ila baada ya hapo sajili nyingi naona hazikutick as if tulikuwa hatufanyi analysis ya kutosha kabla ya kusajili na kuishia kununua hyped expensive players ....plus average players tunaohangaika nao sahv..hao jamaa unahitaji wakuonyeshe kipi zaidi wakati walipotoka wamedhihirisha kazi zao.
 
Pamoja na mkeka huu wote bado tunakalishwa chini kama watoto ... inauma saana.

skysports-chelsea-signings_5890383.jpg
Hapo sioni usajili mbovu labda Auba ndie haeleweki, Hao wengine maji ya bahari yakitulia mtawapenda bure
 
Ukifatilia interview za Arsen Zakharyan jinsi alivyonashauku na kujiunga na sisi, changamoto iliyopo tu ni jinsi malipo yatakavyo fanyika.
 
Tuliwambia kwa JF mmepigwa parefu. Na siri sasa ambayo hamkuambiwa kabla hajaondoka anakula mkataba mpya mpaka 2027[emoji23]
Screenshot_20230110-155949_Twitter.jpg
 
Tuliwambia kwa JF mmepigwa parefu. Na siri sasa ambayo hamkuambiwa kabla hajaondoka anakula mkataba mpya mpaka 2027[emoji23]View attachment 2476350
Kwa nini unasema hivyo? kwa sababu ya mshahara au kuongeza mkaatab na ADM au kwa sababu hakuna buy clause. Mpira sio kucheza tu, Football is business. Kama tunavyofanya sisi na timu zingine zina haki hiyo hiyo ya kufanya biashara. ADM wamefanya hivyo kulinda maslahi yao kwa huyo mchezaji. Walivunjua benki kumnunua huyo mchezaji kutoka Benefica 3 years ago. So waache wafanye hivyo. Mkataba wetu wa kumchukua ni kuziba pengo linaloweza kuachwa na hao walioingia kwenye majeruhi. Sterling na Pulisic. Tunamhitaji tu hadi June 30, baada ya hapo anarudi kwao, kama tumempenda tunaweza fanya biashara na ADM
 
Ukifatilia interview za Arsen Zakharyan jinsi alivyonashauku na kujiunga na sisi, changamoto iliyopo tu ni jinsi malipo yatakavyo fanyika.
Ukicheki video yake youtube huyu atakuja kuwa Fabregas juniour. Akipata mpira yeye anawaza tu kuassist na anajua kutoa passi za hatari iwe ndefu au fupi. side passes na back passes kama za akina Jorginho hana kijana. Naomba Chelsea wafanikishe hilo deal
 
Romelu Lukaku is facing an extremely uncertain future amid claims his performances are ‘throwing’ Inter Milan into ‘despair’, with the striker also suffering injury woes.
Kuna kila dalili kuwa Inter hawatakubali parmanent deal la Lukaku Bolingoli kwa sababu performance yake imeshuka mno. Amekuwa ni mtu wa maneno mengi bila performance.

Sasa huyu kiangazi kijacho tunaye hapa darajani, mzigo huo utatua tena na huku akitangaza waziwazi anaipenda Inter tu

Tangu arudi inter pamoja na majeruhi kafanikiwa kufunga goli moja tu na assist moja katika mechi 6

0_Romelu-Lukaku.jpg
Sasa uwaze hapa Potter Pale Bolingoli 😂😂😂😂
 
Huyo dogo aliacha kumpasia Fofana akiwa kwenye golden position pamoja na kumnyooshea mikono mara nyingi ila hakumuona badala yake akaenda na huo mpira kule pembeni hadi city wakafunga mianya na kijana akabaki kubutua
1673364634207.png
 
Nyie madustbin mnakaribishwa Old Trafford saa 11:00pm mje mjionee timu kubwa zaidi duniani jinsi inavyotandaza soka la kuvutia na kukongo nyoyo za mashibiki wa soka duniani kote, huenda kuna mambo mkajifunza yakawasaidia na kuwanusuru msishuke daraja.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha[emoji16][emoji16][emoji16]
Screenshot_20230110_204539.jpg
 
Dream Team imekuwa kama ngonjera

Barca walimng'ang'ania Raphina wakajipiga kweli kweli sasa wanajuta kwa kufuata kwamba Raphina aliipenda Barca aliifuatilia tangu utototni na kwamba Barca ni dream, team yake.

Raphina kwenye mechi 21 aliazocheza tangu ahamie Barca miezi sita iliyopita kafunga goli 3 tu na assists 5. Sasa Barca wanamtembeza sokoni anunuliwe. Amlete Chelsea tumpe Mil 10 ndio size yake.

According to Jose Alvarez (via Managing Barca), Barcelona have decided they are open to offers for Raphinha as well as Ferran Torres and Ansu Fati. The news may not come as a surprise for many due to Barca's horrific financial situation.

Hazard naye Draem team yake ilikuwa Madrid, kawa flop wa karne. Sasa Arsenal wanaendelea na mazungumzo ili kumsajili Hazard kutoma Real Madrid.

Hawa wachezaji wa dream team ni wa kuwaogopa sana, mimi ningekuwa kocha ningewakwepa hawa watotot wasio na akili kabisa. Wananunuliwa kwa mahela mengi halafu wanakuja kuwa flops

Arsenal wawe macho na huyo Makhailo

Mykhailo naye dream team yake Arsenal, Chelsea tumetoa ofa ameikataa.

Ataenda kuwa flop wa karne
 
Christopher Nkunku tumeshamdaka
Tunaendelea kuzungumza na Marcus Thuram
Yajayo yanafurahisha zaidi
Leo tunatokwa na machozi ila kesho tutafutwa machozi

Bundesliga top scorers so far after 15 games
1673375668860.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom