Dream Team imekuwa kama ngonjera
Barca walimng'ang'ania Raphina wakajipiga kweli kweli sasa wanajuta kwa kufuata kwamba Raphina aliipenda Barca aliifuatilia tangu utototni na kwamba Barca ni dream, team yake.
Raphina kwenye mechi 21 aliazocheza tangu ahamie Barca miezi sita iliyopita kafunga goli 3 tu na assists 5. Sasa Barca wanamtembeza sokoni anunuliwe. Amlete Chelsea tumpe Mil 10 ndio size yake.
According to Jose Alvarez (via Managing Barca), Barcelona have decided they are open to offers for Raphinha as well as Ferran Torres and Ansu Fati. The news may not come as a surprise for many due to Barca's horrific financial situation.
Hazard naye Draem team yake ilikuwa Madrid, kawa flop wa karne. Sasa Arsenal wanaendelea na mazungumzo ili kumsajili Hazard kutoma Real Madrid.
Hawa wachezaji wa dream team ni wa kuwaogopa sana, mimi ningekuwa kocha ningewakwepa hawa watotot wasio na akili kabisa. Wananunuliwa kwa mahela mengi halafu wanakuja kuwa flops
Arsenal wawe macho na huyo Makhailo
Mykhailo naye dream team yake Arsenal, Chelsea tumetoa ofa ameikataa.
Ataenda kuwa flop wa karne