Nakuhakikishia hawatufungi hawa mambwiga,
Nimetundika daluga, miaka mi5 iliyopita, nikitafuta wale mafundi wenzangu, tukapiga jalamba la nguvu, wiki 3 tu zinatosha, ya 4 tunaanza kuwasikiliza wao, hata wakituamsha ssaa 8 usiku kwa kutushitukiza hawatufungi ng'oo
Yaani mie nikasirike nile winga ya kushoto ndio babu masulupwete anizuie, niamue kucheza 8/10 pale kati natamba mimi tu, napiga pasi makkah huku naangalia madina.. Napiga pasi mtwara macho yanatizama kigoma mwisho wa reli. [emoji23] [emoji23]