Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Shida ya Chelsea ni mjumuisho wa yote
Nakubali kuwa kumuondoa kocha pekee sio muwa arobaini
Kuna structure ya managementi ya timu imeoza
Kwa hiyo twende na kurekebisha mafiga matatu

  1. Uongozi na muundo wake
  2. Kocha
  3. Wachezaji
Kocha ni mtu wa mwisho kumuhukum if umempa wachezaj wanaoendana na falsafa yake na mda umempa tofauti na hivyo tutaendelea kulalamika
 
Shida haijawah kuwa kocha. Hata akika Zidane,Enrique ila zile deadwood zikiendelea kuwepo tutawaona hawafai.

Mwanzon watamuimpress kocha baadae wanarudi kwenye hali zao
Screenshot_20230108-233743_Twitter.jpg
 
Arsenal hatuwez kujiingiza KWENYE Bidding war

Dau tuliloweka mezani Ni package ya €70m

Chelsea had Sasa hawezi kutuma ofa yoyote ,Sababu mchezaji ameshaweka bayana haendi Zaid ya Arsenal

Mwisho wa dirisha anakuja Vizuri kabisa kwa dau Hilo Hilo tuliloweka
Wanasajili hovyo bila mipango ,team inajikotea
 
Fofana kuna mdq ashfungua kabisa ila badala ya kumpitishia through ball. Mtu anampasia mtu mwingine kabisa.

Kunq chance unaona kabisa hii hapa ni counter ila cha ajabu tunafika mbele then tunapoza shambuliz kwa pass zisizokuwa na maana then tunarudisha mpira nyuma

Tuna team mbovu ambayo haijawah tokea.

Tomorrow the sun will rise again
 
Fofana kuna mdq ashfungua kabisa ila badala ya kumpitishia through ball. Mtu anampasia mtu mwingine kabisa.

Kunq chance unaona kabisa hii hapa ni counter ila cha ajabu tunafika mbele then tunapoza shambuliz kwa pass zisizokuwa na maana then tunarudisha mpira nyuma

Tuna team mbovu ambayo haijawah tokea.

Tomorrow the sun will rise again

Tulieni dawa iwaingiee wazee wa kusajili
The sun wl rise 4 all of US
 
TT hafai Chelsea hata kama GP ni hovyo, we need a better coach. Tumetumia gharama kubwa kwenye usajili lazima kocha aweze kuakisi hizo gharama

Kwa usajili wa wachezaji magarasa zoa zoa [emoji23][emoji23]
 
@Bobbyray unasemaje now?
Katika makocha wote waliopita Chelsea Potter anaongoza kwa ubovu hakuna project itakayofanikiwa akiwepo uwezo wake mdogo hamna tofauti na Moyes

Hawa makocha wa kiingereza ni bure kabisa angalau fabio capello alifanikiwa kidogo kibaya zaidi tumepata tajiri asiye na uelewa na mambo ya mpira anakulupuka tu kufanya mahamuzi
 
Kocha ni mtu wa mwisho kumuhukum if umempa wachezaj wanaoendana na falsafa yake na mda umempa tofauti na hivyo tutaendelea kulalamika
Hv we jamaa unaongea nini wewe? Moja ya jukumu la kocha Bora ni kustruggle katika mazingira magumu , kutafta matokeo ukiwa na Kikosi kibovu , lazima uonyeshe matumaini ya kuivusha timu japo Kwa kuchechemea , Potter Hana hyo chembe hata kidog , mechi 9 unafungwa 5 , draw 3 , unashinda 1, hamna kocha pale anatakiwa afukuzwe hata jioni ya Leo angalau kurescue morally ya wachezaji
, mtashusha timu daraja kizembe Sana ..... Kocha mwenye akili hawezi pata matokeo Yale regardless wachezaji ni wabovu Kias gan , na pia makocha wengi kwenye upenyo wa dirisha hili la January hukimbizana angalau kuokota wachezaji walio huru au Kwa mkopo ili timu iende mpak mwisho wa msimu .....

Hata kama fungu linatoka ni Kwa ajili ya mtu ambaye anaonyesha matumaini , huwez ondoa wachezaji hao wote na ulete wapya ni suala la miaka miwili mpak 3, Kwa mwenendo wa kocha huyo , hyo reformation atafanya akiwa championship
 
Katika makocha wote waliopita Chelsea Potter anaongoza kwa ubovu hakuna project itakayofanikiwa akiwepo uwezo wake mdogo hamna tofauti na Moyes

Hawa makocha wa kiingereza ni bure kabisa angalau fabio capello alifanikiwa kidogo kibaya zaidi tumepata tajiri asiye na uelewa na mambo ya mpira anakulupuka tu kufanya mahamuzi
Fabio capello NI muitaliano
 
Km tunajenga team mpe potter mda n toa takataka zote na sajil wachezaj watakaoendan na falsafa zake baada ya hapo ndio ahukumiwe
Hivi wachezaji wa Chelsea ni wabaya kiasi cha kocha kushindwa kuwainua viwango vyao hata kidogo?
PEP alipokuwa na magarasha pale city mwaka wake wa kwanza tu alishika namba 3
Nyumba inayojengwa na mhandisi mbovu hata ikipewa muda haitakuwa nyumba bora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom