Arsenal hatuwez kujiingiza KWENYE Bidding warNa Arsenal mmeshindwa kufikia dau
Maoni yangu
- Sisi Chelsea hatutamchukua mchezaji wenu kama mtafikia dau
- Pia hatutamchukua kama hatataka kwa hiari yake kuja Chelsea
- Mkishindwa kabisa kumchukua, Mykhailo atabadili mwelekeo kwani shauku yake kubwa ni kuja EPL, ila mkiweza kufikia dau la Eur 100M basi mchezaji ni wenu. Ila mjue Shaktar hawatakubali chini ya hapo kwa sababu Boehly ameshamwambia sporting director wa Shkhtar yeye yuko tayari kulipo hiyo pesa
- So sasa tunawasubiri ninyi mshindwe. kama ulkikuwa hujui hilo taarifa ya mjini ndio hiyo
HaipingwiiiHamna kocha nyie
Kijana umekuwa na adabu sana GoodHata Kova hakuna kitu, Beki ni Silva alikuwa anatubeba
Timu nzima approach ya game is poor poor
City wanapass mpira kwa haraka, sisi tunapata mpira tunazubaa nao
City wakipoteza ni msako mchezaji kwa mchezaji wanawahi kukaba kabla hujapasiwa mpira, sisi Chelsea tukipoteza mpira tunabaki kuangalia na kukaba kwa macho. Shit, hata kama tunajenga timu sio kwa mabua kiasi hiki
NAUNGA MKONO HUYU KOCHA ATIMULIWA
Alidhani wamepata Pep mwenye nywele 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kijana umekuwa na adabu sana Good
nilikwambia hapa hatuna kocha, tuna msimamizi wa mazoeziHata Kova hakuna kitu, Beki ni Silva alikuwa anatubeba
Timu nzima approach ya game is poor poor
City wanapass mpira kwa haraka, sisi tunapata mpira tunazubaa nao
City wakipoteza ni msako mchezaji kwa mchezaji wanawahi kukaba kabla hujapasiwa mpira, sisi Chelsea tukipoteza mpira tunabaki kuangalia na kukaba kwa macho. Shit, hata kama tunajenga timu sio kwa mabua kiasi hiki
NAUNGA MKONO HUYU KOCHA ATIMULIWA
Mnanyooshwa ipasavyo.Combination ya Chalobah na Koilibally sio nzuri. Si bora kocha angemrisk Badiashile hapo?
Kova ashachoka hawezi pambana afu wengine warelax tuHata Kova hakuna kitu, Beki ni Silva alikuwa anatubeba
Timu nzima approach ya game is poor poor
City wanapass mpira kwa haraka, sisi tunapata mpira tunazubaa nao
City wakipoteza ni msako mchezaji kwa mchezaji wanawahi kukaba kabla hujapasiwa mpira, sisi Chelsea tukipoteza mpira tunabaki kuangalia na kukaba kwa macho. Shit, hata kama tunajenga timu sio kwa mabua kiasi hiki
NAUNGA MKONO HUYU KOCHA ATIMULIWA
If ni kumfukuza kocha baadh ya wachezaj hawatakiwi kubaki,Hata Kova hakuna kitu, Beki ni Silva alikuwa anatubeba
Timu nzima approach ya game is poor poor
City wanapass mpira kwa haraka, sisi tunapata mpira tunazubaa nao
City wakipoteza ni msako mchezaji kwa mchezaji wanawahi kukaba kabla hujapasiwa mpira, sisi Chelsea tukipoteza mpira tunabaki kuangalia na kukaba kwa macho. Shit, hata kama tunajenga timu sio kwa mabua kiasi hiki
NAUNGA MKONO HUYU KOCHA ATIMULIWA
Huwa nasema siku zote hapa , huwez tumia 300M kwa wachezaj ambao unajua kabis kocha huyo utamtimua.Roman alikuwa akiweka €200m sokoni lazima timu hiyo isumbue
Sasa huyu Toddy had Sasa katumia €400m+ madirisha mawili ,ila timu inacheza Kama Gwambina ya pastor athanas
Toddy kila mchezaji mzuri anamtaka ,
Roman mwenyewe hakujenga timu kihuni hivo , mchezaji aliyemtaka alitua ,sio kuingilia kila mchezaji anayetakiwa sokoni
Raphina
Kounde
Josko
MUDRKY
Thuram
N.k
Nimeona kwa caicedo wameingilia katiYani kama wewe ni mchezaji uliye sokoni na hujapewa ofa na Chelsea, inabidi ujiulize sana. Hii timu inatakaga kila mtu.
Yani kuna Manchester UTD ambaye anayehusishwaga na kila mchezaji, alafu kuna Chelsea ambaye anapelekaga ofa kwa kila mchezaji. Yani hujui hata focus yake ni nini.Nimeona kwa caicedo wameingilia kati