gemu ya kwanza tulikuwa na ulazima wa kucheza defensive ili kupima upepo; lakini sasa tumeimarika sana kuliko ilivyokuwa mwezi wa 8. Pale mbele Willian-Oscar-Hazard-torres. mtaumia sana siku hiyo.
Ukitaja mwaka 1999 nakumbuka treble (UEFA Champions League +English Premier League +FA Cup).Mourinho ni too defensive sio rahisi kumfunga Man United goli tano,nafikiri unakumbuka game ya kwanza.