Vikao vya Harusi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 532
- 165
Mkuu mbona unanikuu vibaya,mimi ni Spain kaka,ila naongea kiukweli England nazotambua zina rekodi ktk makombe yanayojulikana ni Man Utd na Liverpool,hizi zingine zimechipukia,hata kesho Bashir Tofa akinunua Swindon basi nayo washabiki itakuwa nao wengi,lakini ukizungumzia ktk wenye rekodi hawatambuliki.
Hapakufai hapa! Cha zaidi utaambulia matus.i