Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu
agosti 8 kumbuka mechi ya Arsenal Lampard alivyocheza mpira sn! Na ata mechi ya Liver, alicheza sn, Yani Km asingeumia liver tulikua tumpige nyingi! Na uzuri Mourinho kampunzisha Lampard vya kutosha. Kwahiyo hiyo game atakua vizuri sn!
 
Last edited by a moderator:
Chelsea ni kama jogoo la shamba,haliwezi kuwika canet de mar,linyola,arenys de mar,la pobla de segur,terrassa,sabadell wala samasotro.


Angalia timu za uingereza uone ipi ni jembe kimataifa ndo uje useme hivyo!

Waulize Fc Barcelona au Fc B Munich au Waulize makocha wakubwa wote unaowafahamu duniani watakuambia mziki Wa Chelsea ukoje?

Miaka ya 1980 ilikua Miaka ya Liverpool

Na Miaka ya 1990 ilikua ya Man Utd

Chelsea ndio imevuruga zama za Arsenal Miaka ya 2000,

Na sasa ndio zama za Chelsea kwa Epl na Ucl.

Na Miaka yote hiyo tangu nyuma Chelsea sio Km walikua wanaburuza mkia hapana! Walikua wanashika nafasi nzuri tu!
 
Chelsea ni kama jogoo la shamba,haliwezi kuwika canet de mar,linyola,arenys de mar,la pobla de segur,terrassa,sabadell wala samasotro.

Mkuu

Hakuna game ata moja Fc Barcelona akaifunga Chelsea huku Chelsea ikiwa na wachezaji wote #11 . Hakuna.! Na game zote alizofungwa Chelsea hazikua Fair, mwamuzi lazima awe kacheza rafu. Mkumbuke Corina au babu Upara na Yule refa Raia Wa Sweden alijiuzuru baada ya kuvurunda kuchezesha na kumpa D Drogba Kadi nyekundu na kukataa goli la Chelsea eti offside.

Yani Chelsea wakiwa #11 basi Barc kapata sn Drow au kufungwa Barc.
 
Game ambazo hua nikizikumbuka napata faraja kubwa ni Chelsea vs Napoli second leg Darajani.

Chelsea vs Fc Barcelona Second leg Camp Nou

Na Fainal ya UCL Fc B Munich vs Chelsea A arena.

Kocha Wa Munich yule babu alisema Chelsea ni timu Ambayo haijawahi kutolewa hatua za makundi tangu Mwaka 2003.
Imekua inafika Robo fainali mara kadha na nusu Fainali kadha na fainali Mara moja. Kwahiyo sio timu ya kubeza. Na kweli Yule babu akafungwa nyumbani na kombe akaliona kwa macho tu!
 
Ntuzu ila anaweza akasugua sana bench,kwakuwa alikuwa anapata ahueni ya kucheza kama kiungo,sasa kaja kiungo halisi,nadhani italeta shida kwake


Mkuu
Chivaro kuna viungo wengi pale Chelsea Wa Kati Kati Km kina Calvin na Van ginkel na Essien. Mourinho hua anamchezesha huyo Luiz kimkakati. Na mikakati ya Mourinho hufanikiwa.
Kumbuka Beki za Kati kwa sasa yuko Cahill na Terry tu kwasababu Ivanovic ingawa ni Beki Wa Kati lkn kwa sasa anatumika sn Km Beki Wa pembeni kulia. Na lengo la Mourinho kila namba iwe angalau na wachezaji wawili wazuri. Kwa maana hiyo utaona Beki za pembeni kuna Ivanovic na Azz, na R Betrada na A Colly. Beki za Kati ni Cahill na Terry na Luiz. Kwahiyo huku nyuma hawezi kabisa kubomoa.

Tena Luiz ameonesha uweza Wa Hali ya juu kabisa kucheza Hizo game ktk nafasi Ambayo sio yake na kutoa pass za uhakika. Shida Yake ni moja anachoka sn ile kz ya kupanda na kushuka. Anaitaji mazoezi binafsi ya pumzi kumudu hiyo nafasi akipangwa.
 
Last edited by a moderator:
Alafu Mkuu
Chivaro

Sasaivi ligi zote zimefika katikati, na majira haya kwa ulaya yanakua na baridi Kali sn, kiasi wachezaji wengine hushindwa kucheza mpira vizuri au wanaumia. Na kwa timu Km Chelsea inashiriki mashindano Km matatu sasa. Kwahiyo kua na wachezaji angalau wawiliwawili kila namba ni vizuri! Unaweza ukapanga timu hii game hii na kesho ukapanga nyingine ili kusaidia wachezaji wasitumike sn au kuchoka ili kukamilisha mbio za kuwania ubingwa au kua bingwa kabisa Wa EPL, UCL na FA.
 
Last edited by a moderator:
agosti 8

Mkuu saizi hautokua peke yako ktk hili jukwaa letu! Naona mpk jirani zetu washika bunduki hua wanatucheka.

Tulichangamshe Mwana angalau kila siku tutupie post #3 za habari na mijadala kidogo.

Asante sn.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu wangu mie kama kawaida; kazi zangu ni za kompyuta, nitajitahidi kila siku asubuhi, mchana na jioni nitupie vitu; si mmekuta angalua jukwaa limechangamka ingawa nilikuwa nasumbuana na watani zetu wanaotaka kuchafua jukwaa letu?
agosti 8

Mkuu saizi hautokua peke yako ktk hili jukwaa letu! Naona mpk jirani zetu washika bunduki hua wanatucheka.

Tulichangamshe Mwana angalau kila siku tutupie post #3 za habari na mijadala kidogo.

Asante sn.
 
Ntuzu; nimekupata kweli tukimpumzishan Oscar kipindi cha kwanza akaingia cha pili, Man Utd tutawafunga kwa urahisi sana. Oscar akiingia Man Utd watakuwa wametepeta; kumbuka mechi ya madogo Southampton alicheza dakika 37 tu tukashinda goli 3; Mtoto Oscar huyu balaa sana huyu.
 
"The Chelsea TV cameras were there at Cobham to film Nemanja Matic train for the first time with his team-mates today."-Chelsea TV
 
Katika historia ya Premier League:
1. Frank Lampard = kiungo aliyefunga magoli mengi zaidi katika historia ya PREMIER LEAGUE.
2. John Terry = Beki aliyefunga magoli mengi zaidi katika historia ya PREMIER LEAGUE.

 
Wakuu wangu mie kama kawaida; kazi zangu ni za kompyuta, nitajitahidi kila siku asubuhi, mchana na jioni nitupie vitu; si mmekuta angalua jukwaa limechangamka ingawa nilikuwa nasumbuana na watani zetu wanaotaka kuchafua jukwaa letu?

Pamoja sn Mwana! Mwanangu umejitahidi sn!

Hao watani zetu Nilikua Naona tu unavyochuana nao!
Wao wanabisha tu. Ukweli utabaki pale pale!

Chelsea ni kiboko Yao!
 
Ntuzu; nimekupata kweli tukimpumzishan Oscar kipindi cha kwanza akaingia cha pili, Man Utd tutawafunga kwa urahisi sana. Oscar akiingia Man Utd watakuwa wametepeta; kumbuka mechi ya madogo Southampton alicheza dakika 37 tu tukashinda goli 3; Mtoto Oscar huyu balaa sana huyu.

Ni kweli Mkuu!
Na ninafurahi sn kumuona Oscar ameanza kuweza kucheza mpira Wa ambao Jose anautakata. Amekua anacheza mpira Wa nguvu na akipata nafasi #3 lazima afunge moja!

Nilikua naangalia kikosi cha Man Utd, kusema ule Ukweli ata Moyes afanye nini kuistop Chelsea kwa sasa ni ngumu! Lazima wapigwe. Man Utd hawako vizuri Km ilivyo Leverpool ya Rodgers.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom