Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,787
- 2,233
Halafu dgo anakiwasha mwanzo mwishoMkuu nahisi huyu dogo atarudi tu, Silva na Koulibal hawana mda mrefu pale.
Halafu dgo anakiwasha mwanzo mwishoMkuu nahisi huyu dogo atarudi tu, Silva na Koulibal hawana mda mrefu pale.
Habari nzuri Sana hapo bado creative midfielder
Shida tunakutana na injuries nyingi ndio maana tunatanua kikosiNyie mnatakiwa mpigwe ban ya kusajili ndio hawa watoto wenu watapata nafasi, bila ban ya kipind kile , Kina James ,Tammy, Mount, nk wasingejulikana
Nilishangaa Sana maskauti wetu wanamtaka Levi cowill hapo hajacheza hata EPL mechi moja , baadae mkampeleka Brighton loan , anakiwasha balaa ,Cha ajabu mnaingia sokon mnasajili wachezaji wanafasi ile ile
Kama hamna team wewe umekuja kufanya niniHamna timu hapa
Gary Neville anasema mmepigwa , anasahau man u Kuna biashara kichaa kafanya zakutoshaAnacholeta Enzo darajani hiki hapa
Angala position anazo cheza na percentage wise ability yake
View attachment 2467810
Wewe ndie umepigwaHuyu kocha hapa tumepigwa jamani, aaaaaah aiseeeeeView attachment 2468144
Naona Shakhtar wanatumia sisi ili muwape pesa watakayoridhika nayo kwa Mudryk.Gary Neville anasema mmepigwa , anasahau man u Kuna biashara kichaa kafanya zakutosha
Mimi kwa huyu Enzo, Sina neno, nilikuwa timu Argentina ,mech ya Kwanza wakaniudhi Viungo wagumu, wanajificha juu ya back 4, nikahamia Spain, kuanzia mechi ya 2, Scallon akampiga bench parades akampa huyu dogo Enzo, nafasi, Ndiye kakamatia Dimba juu ya back 4 anachukua mipira anasambaza vzr,
De Paul akabaki mkabaji tu, dogo Ni press resistant, passing yupo njema ,
Anacheza vzr ile no.6 ya kisasa, Kuna mjadala uliibuka itakuwaje Wakiwa timu moja na Frenkie De jong, maana uchezaji wao unafanana ,
Kilichonivutia ,mechi ngumu alizimudu, tofauti na yule muingereza Bellingham (overrated)
View attachment 2468015
Hapo mdau kampiga na kitu kizitoGary Neville anasema mmepigwa , anasahau man u Kuna biashara kichaa kafanya zakutosha
Mimi kwa huyu Enzo, Sina neno, nilikuwa timu Argentina ,mech ya Kwanza wakaniudhi Viungo wagumu, wanajificha juu ya back 4, nikahamia Spain, kuanzia mechi ya 2, Scallon akampiga bench parades akampa huyu dogo Enzo, nafasi, Ndiye kakamatia Dimba juu ya back 4 anachukua mipira anasambaza vzr,
De Paul akabaki mkabaji tu, dogo Ni press resistant, passing yupo njema ,
Anacheza vzr ile no.6 ya kisasa, Kuna mjadala uliibuka itakuwaje Wakiwa timu moja na Frenkie De jong, maana uchezaji wao unafanana ,
Kilichonivutia ,mechi ngumu alizimudu, tofauti na yule muingereza Bellingham (overrated)
View attachment 2468015
Paundi 62M ya AFC imekataliwa na Chelsea wameanza mazungumzo ya kumsajili Mykhaylo MudrykNaona Shakhtar wanatumia sisi ili muwape pesa watakayoridhika nayo kwa Mudryk.
Shaktar wamemtumia mpk na Anthony WA unyumbuniNaona Shakhtar wanatumia sisi ili muwape pesa watakayoridhika nayo kwa Mudryk.

Nahisi hii kama kuwapush Arsenal tu, walipe hela Shakhtar wanayotaka.Paundi 62M ya AFC imekataliwa na Chelsea wameanza mazungumzo ya kumsajili Mykhaylo Mudryk
Arsenal wamesusa kuendelea na mazungumzo
wanafanya uhuni hawaNahisi hii kama kuwapush Arsenal tu, walipe hela Shakhtar wanayotaka.
Stak kuamini tukoserious kwa Mudryk, kwa kiasi wqnachotaka Shakhatar hatuwez kutoa
Yah, labda tuuze wachezajiNahisi hii kama kuwapush Arsenal tu, walipe hela Shakhtar wanayotaka.
Stak kuamini tukoserious kwa Mudryk, kwa kiasi wqnachotaka Shakhatar hatuwez kutoa