Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

BOEHLY IN ACTION
  1. Christopher Nkunku - CAM
  2. Datro Fofana -ST
  3. Benoit Badiashile -CB
  4. Andrey Santos - CM
  5. Enzo Fernandes - CM
Na hao wote ni wa first team sio wa kuwasubiri
Andrey Santos ana miaka 18 lakini nasikia kijana kashaiva
 
Enzo Fernandez stats, = magic
FlOXzmzWYAUErxy
 
Tuna wachezaji daraja la kwanza ila tuna kocha wa daraja la chini mno, kuna vitu viko wazi hata asiyekuwa kocha anaviona.

Mfano huko nyuma hakuna timu iliyokuwa inatamani kucheza na Chelsea maana ilikuwa mchakamchaka kwenda mbele mwanzo mwisho lakini njoo sasa yaani kinachochezwa uwanjani utadhani genge la wahuni linafanya mazoezi.
Kwa wachezaji tulio nao kwa Epl ilitakiwa City ndo tutunishiane nao msuli tu ila wengine tupa kule.

Mchezaji kama hakupi unachotaka, kuendelea kumng'ang'ania wakati wapo wengine means wewe viatu ulivyovaa sio size yako.

Una vijana wenye hamu ya mafanikio lakini hata benchi wanakaa kwa mbinde kila siku akina Joji ndo kipaumbele, hapo kwa nini timu isikushinde?, act kama manager mchezaji akizingua weka pembeni uone kama hawatafanya kazi.

Siku hizi timu ikitanguliwa goli moja tu hesabu hiyo mechi tumepoteza, hakuna morali wala juhudi za kupambania timu yaani kila mmoja anacheza kivyake, kwa mazingira hayo tambua timu haina mwalimu ila ina msimamia mazoezi tu.
Mkuu Acha masihara ...yaaan unasema. Tunawachezaji level Sawa na city? Wachezaji wetu wengi mediocre ..wengine umri ushawatupa kina azpi, koulibaly, Silva kidogo anapambana, wengine viwango vya kawaida kina cheek, mount, cjui zakaria , havertz, jorginho...Kwa hao huwezi sema tupo toe and toe na city.... Rebuild inahitajika kwelikweli
 
BREAKING: Chelsea broad will have a meeting with Graham Potter today and they might sack him following the bad results,

Jamani tuombe wana Chelsea tunao pata furaha timu yetu ekishinda huyu jama apewe onyo la mwisho au afukunzwe, ili timu yetu etufurahishe tena. Huyu potter ndo tstizo hana mbinu Chelsea nikumbwa kwakeView attachment 2466634
Kiingereza cha mchongo cha wapi hicho? Chelsea broad?
 
Levi Colwil nahisi msim ujao huenda akarudi.

Chelsea huwa tunashida ya kutoamini vipaji.
Nafikiri inategemea TT naona hakuwahi kuwaamini chipukizi Sana ..aliyefanikiwa kupenya kwenye kikosi Labda chalobah pekee...Ila wengine aliwapiga Kwa mkopo hata huyu colwill alipigwa Kwa mkopo na Tuchel na potter alimchukua wakati bado yupo Brighton ...maybe msimu ujao anaweza akamrudisha
 
Kwani wameanza kupangwa wakat wa Potter tu????Tuchel alikiwa hawapangi????

Azp mkataba ulikuwa umeisha ila Tuchel ndie akataka board imuongeze mkataba au tumesahau ????
Mimi sijamzungumzia TT mimi nadeal na GP niambie kwanini Gallagher na RLC wanan'ganiniwa na kocha?
 
Mchekini hapa kwa nini Chelsea wamemsajili huyu kijana wa miaka 18 bure kabisa

 
Mimi sijamzungumzia TT mimi nadeal na GP niambie kwanini Gallagher na RLC wanan'ganiniwa na kocha?
Me najaribu kukuonesha kuwa hao wachezaj hawajaanza kucheza leo wakat wa potter ila tangu msim huu umeanza walikuwa wanaanza.
Game zote hiz hapa Kocha alikuwa Tuchel na Galagher n RLC walikuwq wanaanza
Vs Everton, RLC alianza
Vs leicester,Galagher+Jorg+Rlc
Vs Soton, RLC ameanzs
Vs Leeds,Galagher + Rlc wanaaza
Vs westh ham, galagher,rlc wameanza

Potter kakuta kikos kiko hivyo, baadhi ya wachezaj hawakupaswq kuwepo leo hii,
 
Chelsea na Benefica wameshakubaliana kuhusu mikataba na namna ya malipo (Payment structure) kila kitu mwisho jumanne au jtano

Enzo Fernandez's January transfer move to Chelsea is reportedly 'done'.
It's rumoured that a structure of the deal has now been agreed with the Blues set to pay €120m (£105m) over three instalments and a further €10m (£8.8m) in performance related fees.
The midfielder missed two training sessions today after returning to Argentina for New Years
 
Ian Maatsen anafanya vizuri kule Burnley. Yeye ni LB au Wing back wa kushoto
 
Ian Maatsen anafanya vizuri kule Burnley. Yeye ni LB au Wing back wa kushoto
Nyie mnatakiwa mpigwe ban ya kusajili ndio hawa watoto wenu watapata nafasi, bila ban ya kipind kile , Kina James ,Tammy, Mount, nk wasingejulikana

Nilishangaa Sana maskauti wetu wanamtaka Levi cowill hapo hajacheza hata EPL mechi moja , baadae mkampeleka Brighton loan , anakiwasha balaa ,Cha ajabu mnaingia sokon mnasajili wachezaji wanafasi ile ile
 
Nyie mnatakiwa mpigwe ban ya kusajili ndio hawa watoto wenu watapata nafasi, bila ban ya kipind kile , Kina James ,Tammy, Mount, nk wasingejulikana

Nilishangaa Sana maskauti wetu wanamtaka Levi cowill hapo hajacheza hata EPL mechi moja , baadae mkampeleka Brighton loan , anakiwasha balaa ,Cha ajabu mnaingia sokon mnasajili wachezaji wanafasi ile ile
Wote hao tunao ni wetu, Badiashile, Colwill, Ian Maatsen wote wa kwetu. Tunahitaji timu pana ili kucop na injuries
 
Nyie mnatakiwa mpigwe ban ya kusajili ndio hawa watoto wenu watapata nafasi, bila ban ya kipind kile , Kina James ,Tammy, Mount, nk wasingejulikana

Nilishangaa Sana maskauti wetu wanamtaka Levi cowill hapo hajacheza hata EPL mechi moja , baadae mkampeleka Brighton loan , anakiwasha balaa ,Cha ajabu mnaingia sokon mnasajili wachezaji wanafasi ile ile
Mkuu nahisi huyu dogo atarudi tu, Silva na Koulibal hawana mda mrefu pale.
 
Nyie mnatakiwa mpigwe ban ya kusajili ndio hawa watoto wenu watapata nafasi, bila ban ya kipind kile , Kina James ,Tammy, Mount, nk wasingejulikana

Nilishangaa Sana maskauti wetu wanamtaka Levi cowill hapo hajacheza hata EPL mechi moja , baadae mkampeleka Brighton loan , anakiwasha balaa ,Cha ajabu mnaingia sokon mnasajili wachezaji wanafasi ile ile
Sasa wewe unafikiri hizi kenge zina akili?
Ngoja kipara awatapishe kwanza hizo £500m walizozitumia kwenye usajili msimu huu.
tapatalk_-934466655_400x194.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom