Sweta LA Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 902
- 2,836
hakuna kocha hapa lembu, tuache kupamba kwenye hamna.Wewe ndie umepigwa
Mnajipa moyo kwa mchezaji kutoka ligi ya Norway ,mumtoe kwa mkopo akacheze hata championshipCheki goli zuri la Datro Fofana
View attachment 2468215
From the club legendHuyu kocha hapa tumepigwa jamani, aaaaaah aiseeeeeView attachment 2468144
Hata Haaland alitokeo huko tena alicheza na Datro Fofana na Fofana alimzidi vitu vingiMnajipa moyo kwa mchezaji kutoka ligi ya Norway ,mumtoe kwa mkopo akacheze hata championship
Si lazima pia ashindwe Acha kukariri...Mikel obi na willian walitoka ligi gani kabla ya kuja Chelsea?Mnajipa moyo kwa mchezaji kutoka ligi ya Norway ,mumtoe kwa mkopo akacheze hata championship
Kama ni kumfukuza GP tumchukue Conte ameanzisha ugomvi na uongozi wa Spurs kwa sababu ya usajilihakuna kocha hapa lembu, tuache kupamba kwenye hamna.








Potter aanze kuwa ruthless. Ten Hag,Arteta hawa wote wako ruthless. If anataka kufanikiwa Chelsea asiangalie majina, kama mtu hakupi performanc unayotaka weka njeeKama ni kumfukuza GP tumchukue Conte ameanzisha ugomvi na uongozi wa Spurs kwa sababu ya usajili
Conte ndie kocha pekee anayeweza kudemand performance ya hali ya juu kwa hawa wachezaji tulionao na hao tunaowasajili
Pia Conte anaweza kudemand mamlaka zaidi kwenye usajili wa wachezaji
Hicho ndicho anachokosa GP na kwa mfumo wa ligi inavyokwenda sasa, kocha ambaye sio ruthless kwa wachezaji wanamzoea kama mjombaPotter aanze kuwa ruthless. Ten Hag,Arteta hawa wote wako ruthless. If anataka kufanikiwa Chelsea asiangalie majina, kama mtu hakupi performanc unayotaka weka njee
Si mlisema hawezi kufukuzwaChelsea tangu jana tuko no. 10
Harufu ya kumtimua kocha ni kama inakaribia
Hatukusema hawezi kufukuzwa, kuna conditions tajiri aliziweka ambazo sio ngumu sanaSi mlisema hawezi kufukuzwa
Cheltako chelwowo ukikutana na shabiki wa Cheltako njian mpige kibao tu![]()



Mkuu tupe muongozo kibao tulichoruhusiwa kuwapiga hawa kenge ni Face slap au hata booty slap tropocal inaruhusu?Mkuu tupe muongozo kibao tulichoruhusiwa kuwapiga hawa kenge ni Face slap au hata booty slap tropocal inaruhusu?