Kiboko yenu Falcao na Atletico Madrid,au mmesahau?Barca usiongee,maana Rivaldo aliapa mlipowapiga 3-1 darajani 2000(sidhani kama unakumbuka)kuwa chelsea ikimtoa Barca anatundika madaluga na akaahadi kufunga na akawafunga,nyie bado msilingie UCL 1 mliyokuwa nayo na kujitapa na nyie vidume,nyie bado sana hamjafikia saizi ya Man Utd na Liverpool kwa England,mimi ni spain damu ila England najua timu zenye rekodi za kimataifa ni 2 man Utd na Liverpool,achana na rekodi zako sijui winners cup,liko wapi hilo kombe wameyafuta makombe ya kwenda kuchuana Wigan,Levante,Limasol,Drinpro sijui,unakuja na kelele nyingi.