Na hao inzi kutoka lile dumpo maarufu ndio wanaosambaza magonjwa. Inzi mdudu mbaya sanaMizoga ya Mburkenge haitakiwi kuachwa hivihivi, hua inasababisha maradhi ya mlipuko ndio maana tunatumia nguvu nyingi kuiteketeza kabla haijaleta athari kubwa kwenye jamii.
Alishaonyesha Nia kipindi cha tuchelHivi unaamini TODDY angemsajili CR7?
Fan base ya hii tim yetu huwa sielewi yani haijui inataka nini, kuna mambo watu wako kama vinyonga vileIla fanbase yetu sometymz naonaga huwa ya ajabu Tu[emoji23]...sasa we kweli serious unasema tunasajili bila matakwa ya kocha ..si msimu huu kuna wachezaji wametakiwa na Tuchel ambao ndo matakwa ya kocha na wakaishia kuikacha timu na kuenda timu nyingine.... Nazungumzia kina richarlison, raphina , dembele, de ligt na wengineo na tukaishia Tu kusajili mostly second choices..Leo unasema project uchwara ya viongozi bila matakwa ya kocha[emoji23] [emoji23]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hawa wote mnawaita takataka, hakika inabidi mtafute mzizi wa fitna ulipo sio bure pale darajani
AzplicuetaChelsea players in round of 16 WC.
Thiago Silva
Kalidou Koulibaly
Eduado Mendy
Ceaser Azplicueta
Mateo Kovacic
Christian Pulisic
Raheem Sterling
Mason Mount
Conor Galagher
Hakim Ziyech
Nani atafika Fainali?
Chelsea and Barcelona players have scored more goals at this World Cup than any other team. Both have 5 goals scored by their players.
They were 12 and now 10 only 2 dropped. Very good indicatorChelsea players in round of 16 WC.
Thiago Silva
Kalidou Koulibaly
Eduado Mendy
Ceaser Azplicueta
Mateo Kovacic
Christian Pulisic
Raheem Sterling
Mason Mount
Conor Galagher
Hakim Ziyech
Nani atafika Fainali?
Ceaser Azplicueta??A
Azplicueta
YesCeaser Azplicueta??
Duuh dunia ina mengiSolution ni tambiko chief.
Wazee walisema uzikwe mguu wa mchezaji. Lukaku alivyoumia Madaktari wakapendekeza akatwe mguu.
Ndio chanzo cha Lukaku kufanya press kwamba anajuta kuondoka inter Milan na kuanza kushinikiza kuondoka darajani.
Hizi mburkenge zote kwa pale darajani zimewasaidia kuscore magoli mangapi tangu msimu unaanza?
Bahati nzuri mpaka sahv hamna mchezaji kutoka chelsea aliyepata injury kubwa...Ila mchezaji wako Gabriel Jesus ndo kapata injury ya goti hvyo hatoendelea katika mashindano haya ya WC.. ndo utaamini uchawi na husda zako ni vitu vibaya Sana[emoji23]Chelsea Hawa wachezaji mliopeleka world cup Nusu wanarudi injury
Mtatafutana humu