Key point ni matakwa ya benchi la ufundi sio kocha pekee wala mmiliki maana usajili uliopita sijui yalikuwa matakwa ya nani. Nakumbuka zama za Conte alipoanza kusikilizwa akaanza kutoa kina Matic kaleta Bakayoko. Costa kaleta MorataUchawi ni viongozi wa club kufanya sajili nyingi bila matakwa ya bechi la ufundi bali kwa matakwa yao au mapenzi ya tajiri.
Wenzio watakupinga ,waambie hata nkuku ,Potter kakuta mipango tayariUchawi ni viongozi wa club kufanya sajili nyingi bila matakwa ya bechi la ufundi bali kwa matakwa yao au mapenzi ya tajiri.
Ni kweli kuna matakataka Chelsea ila ni wachache sana. Chelsea kuna shida kwenye coaching staff na management yote. Matunda ya huo ubove ndio tunapata kwenye poor performance ya wachezaji. Kwa hawa wachezaji tulionao ilitakiwa timu ifanye vizuri sana. Na.uona Potter hana demand kubwa kwa wachezaji. Hayuko agressive. Kocha asipokuwa agresive wachezaji nao wanakuwa legelegeTHE BLUES kocha sio manager kama Arsenal, City, Liver.
THE BLUES kocha anasajiliwa Wachezaji kazi yake ni kuwaorganize uwanjani
Utamaduni wetu wa kufukuza makocha kila mwisho wa msimu haukutoa mwanya kwa kocha kutulia na kusajili wachezaji wake.
Ndio maana hii PROJECT ya potter naita UCHWARA kwa sababu hizi hizi za uongozi kuendelea kusajili matakata bila matakwa ya kocha wala kimkakati na kiufundi.
Kuku mawengeWachezaji gani ulionao sasa wa kufanya useme tungetakiwa tucheze vizuri?
Kante Majeruhi?
Kovacic pancha?
Jorgnho lele mama?
Cucurela mawenge?
Mount ups & downs?
Auba mzee?
Koulibaly mzee?
Sterling faida ndogo kuliko hasara?
Pulisic mtumishi hewa?
Ziyech wa kuzira?
Hatuna kikosi cha kusema tungetakiwa tufanye vizuri.
Tuchel alilazimisha kumkamua ng'ombe maziwa na damu.
Hii habari imeniamsha usingizinHuu usajili wa Nkunku ni kwa matakwa ya nani?
1. Tuchel?
2. Potter?
3. Toddy Boehly?
4. Madalali wa mjini?View attachment 2429876
Kocha na uongozi.Huu usajili wa Nkunku ni kwa matakwa ya nani?
1. Tuchel?
2. Potter?
3. Toddy Boehly?
4. Madalali wa mjini?View attachment 2429876
Huu usajili wa Nkunku ni kwa matakwa ya nani?
1. Tuchel?
2. Potter?
3. Toddy Boehly?
4. Madalali wa mjini?View attachment 2429876
Chelsea are now CLOSING IN on Nkunku, approved by Graham Potter, Chelsea have agreed a package close to €70m for summer 2023 with the agreement that no other club can trigger the clause. (@FabrizioRomano)Kifupi ,Potter kasema YES BOSS , nkuku ulikuwa uwe usajiri wa Tuchel , Potter kaukutia katikati kasema YES BOSSChelsea are now CLOSING IN on Nkunku, approved by Graham Potter, Chelsea have agreed a package close to €70m for summer 2023 with the agreement that no other club can trigger the clause. (@FabrizioRomano)
Mtu anayetakiwa kulipwa mshahara wa maana pale ni Reece James ,Ben Chillwell , Thiago na Ngolo Kante kama yupo mzima ,waliobakia ni vikojozi ,hawafai hata kulipwa 100000 kwa wikiKwa viwango vya mshahara wanavyolipwa Cucurela (175k) na Fofana (200k)
Dah Mount anastahili kulipwa 400k
Nkunku akitua alipwe 600kView attachment 2429116
Hivi ni kweli Ziyech alimpa vitasa Tuchel ?Dah huyu Ziyech wa Morocco tofauti na yule Ziyech wa THE BLUES aliyempiga makofi kocha Tuchel mazoezini.
Lukaku mwingine anatengenezwa ,I'm serious mtakuja kuniambiaChelsea are now CLOSING IN on Nkunku, approved by Graham Potter, Chelsea have agreed a package close to €70m for summer 2023 with the agreement that no other club can trigger the clause. (@FabrizioRomano)
Nyie mnabeba kikombe gan?Chelsea wanataka hata kikombe Cha uji msibebe
Manchester City vs Chelsea in the FA CUP third round. #CFC
Manchester City vs Chelsea in the FA CUP third round. #CFCNyie mnabeba kikombe gan?


