Formation + wachezaj wanaowazunguka unakuta wanacover mapungufu yao, hapo ndio umuhim wa viungo unapoonekanaKwa kweli pale chelsea tuna shida, wachezaji wake kwenye kombe la dunia ni fire, Koulibaly wa Senegal hafanani na Koulibaly wa chelsea, kweli ninaamini tunashida kwenye uongozi au benchi la ufundi pale darajani
Tatizo kubwa Chelsea ni management tu kocha pale hatuna kocha na wachezaji wote wa chelsea wameprove wrong kwamba sio taka taka kocha ndo clueless.Chezesha mifumo yote unayojua duniani ila kukiwa na poor management (kuanzia uongozi mpaka wachezaji) hiyo mifumo ni kazi bure.
Hapo kwa kocha sikuungi mkono, wakat wa tuchel hawa wachezaj walimfanya tuchel aonekane hafai tho hakufuzwa based on matokeo, ila wachezaj wetu wengi bado wanashida, wachezaj wanacheza kwa mood na kujihisi washakuwa world class player kumbe ni avarage players, wengi performance zao ni kama homa za vipindiTatizo kubwa Chelsea ni management tu kocha pale hatuna kocha na wachezaji wote wa chelsea wameprove wrong kwamba sio taka taka kocha ndo clueless.
Wazo lako ni nzuri kocha akiwa na mamlaka kamiri ya kupendekeza na kusajili wachezaji ni jambo lenye faida kubwa ukiwa na kocha sahihi ila pia ni hatari ukiwa una kocha asio kua na mbinu au tactics kama potter wetu.Potter ili afanikiwe apewe mamlaka kamili ya kusajili aina ya wachezaji anaowataka, atakaoweza kuwaonya, kuwafokea, kuwajenga kisaikolojia na uchezaji.
Potter kamwe hawezi kufanikiwa kwa hawa wachezaji aliowakuta kikosini. NEVER
Hiii timu kwa sasa ina matatzo mengi sanaTangu Potter amepewa timu sijadhubutu kujadili mbinu zake.
Nikirusha shilingi juu naona ikitua kwa wachezaji ndio wabovu (kisaikolojia, kiuwezo, uzembe, uvivu, kudeka na kula mshahara bure)
Ndio maana huwa nasema kwa kikosi hiki Tuchel alikamua maziwa na damu kupata yale matokeo na makombe.
Kwa maana Tuchel alipambana zaidi ya mbinu zake za uchezaji uwanjani kupata yale matokeo.
Kwa wachezaji hawa, Potter hataweza kukamua maziwa na damu kama Tuchel
Labda atafute wachezaji wake akamue maziwa cream taratibu huku anapiga mluzi.
Bahati mbaya kwa Potter ameshaingia kwenye mtego ule ule wa kusajiliwa wachezaji kwa matakwa ya tajiri na yeye mwenyewe ameshindwa kuwachuja wale alionao kikosini.
Ni sawa lakini potter had a poor beginning na pia hana kumbukumbu za kumsupport mashabiki wa chelsea wataka ushindi tu, hiyo pressure hataiweza kuimudu, bora ache mapema mpira ni metality na attitude ambayo imesha haribika tayariTangu Potter amepewa timu sijadhubutu kujadili mbinu zake.
Nikirusha shilingi juu naona ikitua kwa wachezaji ndio wabovu (kisaikolojia, kiuwezo, uzembe, uvivu, kudeka na kula mshahara bure)
Ndio maana huwa nasema kwa kikosi hiki Tuchel alikamua maziwa na damu kupata yale matokeo na makombe.
Kwa maana Tuchel alipambana zaidi ya mbinu zake za uchezaji uwanjani kupata yale matokeo.
Kwa wachezaji hawa, Potter hataweza kukamua maziwa na damu kama Tuchel
Labda atafute wachezaji wake akamue maziwa cream taratibu huku anapiga mluzi.
Bahati mbaya kwa Potter ameshaingia kwenye mtego ule ule wa kusajiliwa wachezaji kwa matakwa ya tajiri na yeye mwenyewe ameshindwa kuwachuja wale alionao kikosini.
Habari yako Inzi, hampumzingagi nyie mnasaka mizoga tu 24/7Hizi Kenge zimeshaanza kunenepeana humu ndani, bora World Cup iishe haraka tuanze kusikia vilio vya maumivu humu jukwaani.
Mizoga ya Mburkenge haitakiwi kuachwa hivihivi, hua inasababisha maradhi ya mlipuko ndio maana tunatumia nguvu nyingi kuiteketeza kabla haijaleta athari kubwa kwenye jamii.Habari yako Inzi, hampumzingagi nyie mnasaka mizoga tu 24/7
Hapana nahis asiuzwa Chelsea mkuuu kuna shidaZIYECH atatupa pesa nzuri dirisha la January.
Ac Milan wakamilishe kuandaa ofa yao.
Kaukuta mpango tiyari lkn uzuri NI kuwa pia kakubaliana na huo mpangoWenzio watakupinga ,waambie hata nkuku ,Potter kakuta mipango tayari
Ila fanbase yetu sometymz naonaga huwa ya ajabu TuTHE BLUES kocha sio manager kama Arsenal, City, Liver.
THE BLUES kocha anasajiliwa Wachezaji kazi yake ni kuwaorganize uwanjani
Utamaduni wetu wa kufukuza makocha kila mwisho wa msimu haukutoa mwanya kwa kocha kutulia na kusajili wachezaji wake.
Ndio maana hii PROJECT ya potter naita UCHWARA kwa sababu hizi hizi za uongozi kuendelea kusajili matakata bila matakwa ya kocha wala kimkakati na kiufundi.
...sasa we kweli serious unasema tunasajili bila matakwa ya kocha ..si msimu huu kuna wachezaji wametakiwa na Tuchel ambao ndo matakwa ya kocha na wakaishia kuikacha timu na kuenda timu nyingine.... Nazungumzia kina richarlison, raphina , dembele, de ligt na wengineo na tukaishia Tu kusajili mostly second choices..Leo unasema project uchwara ya viongozi bila matakwa ya kocha

Aaah wapi ..umetumia vigezo gani ..kwamba atakuja kuwa n first touch mbovu?Lukaku mwingine anatengenezwa ,I'm serious mtakuja kuniambia

Kama atakubaliana na mipango yote imekuwaje amekataa mpango WA kusajiliwa cr7Potter hana shida atakubaliana na mipango yote, mwisho wa siku atashindwa kuimanage mipango yenyewe
Kumbuka Hyo mitakataka ilimradi pia unayoisemea ilikuwa second choice ya kocha . Kama wangeamua wasisajili na wakae chini na kikosi cha kawaida si bure mngekuja na hadithi nyingine za Chelsea inakuwa midtable team yaan viongozi n wamiliki hawana mpango WA kusajiliKama wameikacha timu ndio uongozi usajili matakataka ili mradi?
Kama umekataliwa sokoni kaa chini jiulize maswali kwanini nakataliwa? Shida ni nini?
THE BLUES tuna uongozi poor
hamkawii hii fanbase