Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Potter anamdharau kivip, Wakati Huyo dogo kapewa nafasi Jana ? Unadhani Tuchel angekuja kumpa nafasi? Yule dogo mzuri ila anahitaji mech nyingi awe mzoefu, Zile chances mbili akiwa mzoefu anafunga bila shida Kama uliziangalia vizuri

Potter atawapa nafasi vijana ,tatizo mnampa presha Sana, kamsikilize Pep alichosema kuhusu Potter ,

Kwasasa Chelsea sio kununua tu ndio suluhisho tumeona summer mmespend £300m lakin wachezaji hawaendan kabisa ,

Potter anaonesha ana staili yake ya uchezaji hivo most of players hawafiti hivo lazima aletewe wengine ,na Yule dogo Lewis kwa nilivyomuona Jana anaweza kuanza kupewa nafasi

Majeruhi mlionao mnaodai Ni mapengo makubwa Ni wawili au watatu, mnatakiwa mkubaliane Kante,Kova sio Tena wakuwategemea ,kova anacheza mech 2 injury, Kante haihitaji kumuelezea ndio maana hata mkataba wa miaka miwili hawez kupewa.
Katika kitu watu wanachoshindwa kuelewa ni upande wa recruitment, unaweza tumia hata 300M na stil ukaonekana mbovu, na ndio kitu kinachotutokea, kwa sababu hatukuwa smart kwenye recruitment,

Uhitaj utumie 70M ili upate mchezaj bora, kuna player wako bora kuliko hao wa 70M, ukiwa na scouting nzuri na ukawa na Technical director or Director of football mzuri, leo hii Pep anafaidi kwa sababu ya uwepo wa Txiki na Soriano,
 
Baada ya kipigo cha juzi cha kufungwa goli mbili ndani ya dakika 5 kutoka kwa Mancity ni rasmi sasa Chelsea hatujapata ushindi kwenye mechi 5 mfululizo za ndani(domestic) na tumefungwa mechi zote 3 mfululizo za mashindano yote ya ndani.

Aibu kubwa Zaid ni kuwa katika mechi zote 5 mfululizo za mashindano ya ndani siyo kutokupata ushindi tu, ila ni kufungwa jumla ya magoli 8 huku sisi tukipata goli mbili tu, na mchezaji wetu mwenye magoli mengi ni kai Havertz mwenye magoli 3 tu ya ligi huku tangu ligi ianze kwenye Epl hadi sasa ana offside nyingi kuliko shoot ontarget alizopiga, offside anazo 12 na shoot ontarget kapiga 11 tu.

Tangu Edouard Mendy arudi kafungwa jumla ya magoli 5 kwenye mechi 4 na Chelsea ndo timu iliyosajili mabeki kwa pesa nyingi katika dirisha la usajili lililopita kuliko timu zote za ulaya, Bado naendelea kumfatilia Cucurella tuliemsajili kwa £62Million lakini kabla sijasema chochote naona kazi kubwa anayoifanya Zaid kwa ufasaha ni kukumbatia wachezaji wa timu pinzani.

Moreover mimi siyo mchambuzi wala sijui kuhusu mpira ndio maana siwezi kuongelea timu yoyote ila inanibidi niseme kama muwakilishi wa familia hasa katika kipindi hiki ambacho ndugu zangu hawana nguvu ya kusema chochote


Nasema uongo ndugu zangu? Basi mniombee.View attachment 2413879
Binafsi nimekua big fan wa cucurela

By the way huyu yupo yupo kama misimu minne ya kutugea Furaha tu
 
Katika kitu watu wanachoshindwa kuelewa ni upande wa recruitment, unaweza tumia hata 300M na stil ukaonekana mbovu, na ndio kitu kinachotutokea, kwa sababu hatukuwa smart kwenye recruitment,

Uhitaj utumie 70M ili upate mchezaj bora, kuna player wako bora kuliko hao wa 70M, ukiwa na scouting nzuri na ukawa na Technical director or Director of football mzuri, leo hii Pep anafaidi kwa sababu ya uwepo wa Txiki na Soriano,
Lakini pia kuna sehemu tunamiss
Tunatumia mihemko sana kuliko akili na uhalisia
Usajili uliofanywa wala hauna makosa yeyeote. Inachotakiwa tu ni kuona kwa jicho tofauti badala ya hili la kufuata mkumbo na mob phychology.
Factors ziko nyingi zinazokosekana ili huo usajili wa mil 300 utoe matunda
Sababu hizi zimechukulia maanani kwamba timu bado inajengwa. Kwa timu zilizokwisha jengwa mchezaji akiingia anafit moja kwa moja, tofauti na sisi ambapo wachezaji wapya ni wengi na watahitaji muda
  1. Wachezaji kupata muda wa kuzoeana kujenga Chemistry - angalau msimu mmoja au miwili inatosha
  2. Usajili ukamilike kuziba viraka - angalau msimu mmoja zaidi unatosha
  3. Kocha apate muda kuwajua wachezaji na mifumo inayoendana na hao wachezaji - angalau msimu mmoja unatosha
  4. Kuweza kudhibiti kwa kushusha kiwango cha majeruhi yanayojirudia rudia kiholela - Wawekwe wataalamu wa muafaka kwenye hiyo idara ya medical
Mfano Koulibally analalamika kule alizoea backline ya 4 huku Potter bado analazimisha backline ya 3 hata kama haifanyi kazi. Hii backline ya 3 imeforce na Sterling kuchezeshwa out of position. Kwa mechi chache Potter aliyoweka backline ya 4 Koulibally akiwemo naona alicheza vizuri ila hizi zote za backline ya 3 Koulibally hakucheza vizuri
Mimi naamini tukiwa na uvumilivu kwenye hayo matatu ya kwanza na hilo la nne likafanyiwa kazi tutaenda vizuri
 
THE BLUES NA PROJECT UCHWARA

1. Koulibaly - Mzee (Uwezo umeshuka)

2. Azip - Mzee (Uwezo umeshuka)

3. Auba - Mzee (Uwezo umeshuka)

4. Jorgnho - Mzito, Hana kasi, hawezi kukaba wala kupora mipira

5. Cheek - Uwezo wake ni kucheza crystal Palace/ Kubwa jinga

6. Cucurela - Uwezo wake mdogo, ana mawenge.

7. Kante - Majeruhi Yasioisha

8. Kovacic - Majeruhi Yasioisha

9. Sterling - Mchezaji Waruwaru, faida yake uwanjani ni ndogo kuliko hasara

10. Pulisic - Mtumishi hewa

11. Ziyech - Tumeshindwana

12. Harvetz - Tunapotezeana muda

13. Zakaria - Tatizo la kutokuwa ma mechi fitness

14. Silva - Mzee
Ila wewe mkuu uvumilivu wako mdogo sana, ulitakiwa uwe unahama hama timu kulingana na mafanikio yake,
Mfano
2017 ndio ulitakiwa uwe Chelsea
2018-19 ulitakiwa uwe Man City
2020 ulitakiwa uwe Liverpool
2021 angalau tulibeba UEFA ukarudi Chelsea
2022 ulitakiwa urudi City na mwaka huu hadi sasa ulitakiwa uwe Arsenal
 
Baada ya kipigo cha juzi cha kufungwa goli mbili ndani ya dakika 5 kutoka kwa Mancity ni rasmi sasa Chelsea hatujapata ushindi kwenye mechi 5 mfululizo za ndani(domestic) na tumefungwa mechi zote 3 mfululizo za mashindano yote ya ndani.

Aibu kubwa Zaid ni kuwa katika mechi zote 5 mfululizo za mashindano ya ndani siyo kutokupata ushindi tu, ila ni kufungwa jumla ya magoli 8 huku sisi tukipata goli mbili tu, na mchezaji wetu mwenye magoli mengi ni kai Havertz mwenye magoli 3 tu ya ligi huku tangu ligi ianze kwenye Epl hadi sasa ana offside nyingi kuliko shoot ontarget alizopiga, offside anazo 12 na shoot ontarget kapiga 11 tu.

Tangu Edouard Mendy arudi kafungwa jumla ya magoli 5 kwenye mechi 4 na Chelsea ndo timu iliyosajili mabeki kwa pesa nyingi katika dirisha la usajili lililopita kuliko timu zote za ulaya, Bado naendelea kumfatilia Cucurella tuliemsajili kwa £62Million lakini kabla sijasema chochote naona kazi kubwa anayoifanya Zaid kwa ufasaha ni kukumbatia wachezaji wa timu pinzani.

Moreover mimi siyo mchambuzi wala sijui kuhusu mpira ndio maana siwezi kuongelea timu yoyote ila inanibidi niseme kama muwakilishi wa familia hasa katika kipindi hiki ambacho ndugu zangu hawana nguvu ya kusema chochote


Nasema uongo ndugu zangu? Basi mniombee.View attachment 2413879
Na leo hizi kenge Fc ziko uwanjani zinaenda kuchapwa tena na Nyukesto united.
Hizi Kenge zikishonwa chini ya goli 4 nitaamini kweli uchawi upo.
 
Na leo hizi kenge Fc ziko uwanjani zinaenda kuchapwa tena na Nyukesto united.
Hizi Kenge zikishonwa chini ya goli 4 nitaamini kweli uchawi upo.
Bado tunawatafutia dawa yenu nyie inzimmejaa sana kwenye jukwaa letu, ile dawa ya rungu naona itawafaa
 
Mechi ya Leo ni lazima Chelsea ishinde hata kama ikibidi mtu afe
Leo Chelsea ikifungwa itadondokea namba 10
Liver atapanda
Fulam atapanda na Palace atapanda pia

Harufu ya Potter kutimuliwa itaanza kunukia pale Darajani
Ule mkataba wa miaka mitano sasa utaanza kuchambuliwa kisheria
Boehly ataelewa somo kwamba kwenye ligi ya Uingereza mkataba mrefu haushauriwi hasa kwa kocha level ya GP

Pia mtego huo kwa Boehly

Boehly akimtimua GP basi ataingia kwenye ule ule mtego wa Roman wa kutumua timua makocha na pengine yeye akawa zaidi ya Roman

Uvumilivu ni rahisi kuutaja ila kuuweka kwenye matendo ni mchungu sana

BAHATI MBAYA TENA LEO SITAKUWA NA MUDA WA KUANGALIA MECHI, NITAKUWA NA KIKAO NYETI
Kikao kimeahirishwa tutabanana hapa hapa
 
Line Up Prediction

Formation 4-2-3-1

-------------------------AUBA-------------------------

STERLING ---------------- MOUNT ------------------ ZIYECH

------KOVACIC --------------------JORGINHO ---------

KOULIBALLY ------- SILVA-------CHALOBAH ------AZPILICUETA

-------------------------MENDY-------------------------
 
Mechi ya Leo ni lazima Chelsea ishinde hata kama ikibidi mtu afe
Leo Chelsea ikifungwa itadondokea namba 10
Liver atapanda
Fulam atapanda na Palace atapanda pia

Harufu ya Potter kutimuliwa itaanza kunukia pale Darajani
Ule mkataba wa miaka mitano sasa utaanza kuchambuliwa kisheria
Boehly ataelewa somo kwamba kwenye ligi ya Uingereza mkataba mrefu haushauriwi hasa kwa kocha level ya GP

Pia mtego huo kwa Boehly

Boehly akimtimua GP basi ataingia kwenye ule ule mtego wa Roman wa kutumua timua makocha na pengine yeye akawa zaidi ya Roman

Uvumilivu ni rahisi kuutaja ila kuuweka kwenye matendo ni mchungu sana

BAHATI MBAYA TENA LEO SITAKUWA NA MUDA WA KUANGALIA MECHI, NITAKUWA NA KIKAO NYETI
Mkuu leo kichapo kipo pale pale sioni tukishinda hii mechi
 
Mechi ya Leo ni lazima Chelsea ishinde hata kama ikibidi mtu afe
Leo Chelsea ikifungwa itadondokea namba 10
Liver atapanda
Fulam atapanda na Palace atapanda pia

Harufu ya Potter kutimuliwa itaanza kunukia pale Darajani
Ule mkataba wa miaka mitano sasa utaanza kuchambuliwa kisheria
Boehly ataelewa somo kwamba kwenye ligi ya Uingereza mkataba mrefu haushauriwi hasa kwa kocha level ya GP

Pia mtego huo kwa Boehly

Boehly akimtimua GP basi ataingia kwenye ule ule mtego wa Roman wa kutumua timua makocha na pengine yeye akawa zaidi ya Roman

Uvumilivu ni rahisi kuutaja ila kuuweka kwenye matendo ni mchungu sana

BAHATI MBAYA TENA LEO SITAKUWA NA MUDA WA KUANGALIA MECHI, NITAKUWA NA KIKAO NYETI
If Graham Potter does not get Chelsea into the Top 4, Chelsea are unlikely to sack him.

#CFC

(@JacobsBen via @TFTerrace)

Full video below of @terryflewers & @JacobsBen

#CFC

 
Bado tunawatafutia dawa yenu nyie inzimmejaa sana kwenye jukwaa letu, ile dawa ya rungu naona itawafaa
Marehemu kenge alikua na mdomo sana.
Kazi na umri Kenge nyie, hao maajuza wenu subiri jioni muone jinsi watakavyo pelekewa moto na kina Joe Willock, Bruno Guimaraes, Miguel Almiron, Isak, Chriss Wood na Allan Saint-Maximin.
Harry Potter leo anafungashiwa virago vyake
Screenshot_20221112_140427.jpg
 
Marehemu kenge alikua na mdomo sana.
Kazi na umri Kenge nyie, hao maajuza wenu subiri jioni muone jinsi watakavyo pelekewa moto na kina Joe Willock, Bruno Guimaraes, Miguel Almiron, Isak, Chriss Wood na Allan Saint-Maximin.
Harry Potter leo anafungashiwa virago vyake View attachment 2414439
Ewe shabiki wa soka na usie shabiki wa soka kama unataka kujua kwenye soka kuna timu zinazoteseka basi leo toa mda wako saa 2:30 kaangalie game ya newcastle na chelsea kwa hakika chelsea hawatafungwa tu bali watadhalilishwa watapigiwa mpira mwingi wataonewa na watafanywa vibaya niamini mimi Bruno Guimares atalitawala dimba anavotaka yeye miguel almrion atafanya matusi uwanjani joel lington atafanya unyanyasaji wa kijinsia callum wilson atabaka hadharani

NB:Iwekeni chelsea katika maombi leo hii kwa kipigo cha aibu kitakachowakuta leo kama
 
Ewe shabiki wa soka na usie shabiki wa soka kama unataka kujua kwenye soka kuna timu zinazoteseka basi leo toa mda wako saa 2:30 kaangalie game ya newcastle na chelsea kwa hakika chelsea hawatafungwa tu bali watadhalilishwa watapigiwa mpira mwingi wataonewa na watafanywa vibaya niamini mimi Bruno Guimares atalitawala dimba anavotaka yeye miguel almrion atafanya matusi uwanjani joel lington atafanya unyanyasaji wa kijinsia callum wilson atabaka hadharani

NB:Iwekeni chelsea katika maombi leo hii kwa kipigo cha aibu kitakachowakuta leo kama
Mkuu kwa jinsi unavyowatisha hawa maajuza ikifika 2:30 wanaweza kugoma kuingiza timu uwanjani.
Usajili wa £300m halafu Singida United wanapiga mpira wa maana kuliko wao.

Ikifika 2:30 lazima kenge zitoke damu masikioni.
Koloboi na Kilobah leo watatamani mechi iishe kipindi cha kwanza kwa jinsi watavyogeuzwa uchochoro na kina Allan Saint-Maximin.
 
Nakuwa serious Sasa naweka utani pembeni


Kama una beti mfate Chelsea , Hizi odd alizopewa Ni nyingi Sana

Hazitajirudia ,narudia Tena mfateni Chelsea mnaobeti
 
If Graham Potter does not get Chelsea into the Top 4, Chelsea are unlikely to sack him.

#CFC

(@JacobsBen via @TFTerrace)

Full video below of @terryflewers & @JacobsBen

#CFC

Watu wanahisi huu ni utawala wa Roman, Naona kabisa Potter bado yupo sana,
 
City wamebembelezwa kweli wakadanganyiwa possesion ya 75% halafu mwishoni wanapigwa
 
Line Up Prediction

Formation 4-2-3-1

-------------------------AUBA-------------------------

STERLING ---------------- MOUNT ------------------ ZIYECH

------KOVACIC --------------------JORGINHO ---------

KOULIBALLY ------- SILVA-------CHALOBAH ------AZPILICUETA

-------------------------MENDY-------------------------
Yaani kila nikiangalia mildfield yetu huwa natamani kulia ,yaani kiungo ya ovyo sijawahi kuona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom