Kila tumu ina mfumo wake wakupata trophies na ushindi mfumo wa CFC kupata ushindi ni wa 'out sourcing' kwa quick results wa ( hire and fire) tangu 2012 Chalsea imefanikwa kwa kufika final za champions league zaidi ya mara tatu, hatujawahi kusubili kujenga timu timu elisha jengwa na boss Abromovic na kajiwekea philosophy zake hi timu ijawahi ku-struggle FL aliteka eti kujenga timu kwa kutumia academy ya vijana alimshinda na kutimliwa
Mfumo wa Arsenal ni kujenga timu kutoka grassroot na Tangu 2011 mafanikio yao wana yajua wenyewe siwezi kuwasemea hapa mfumo wa Mancity ni kutafuta already made players nakuingizwa kwenye system yao, na mafanikio wa meyapata, sasa kwanini watu walazimishe CfC iwe kama Mancity aubArsenal wakati tuna phylosophy na tamaduni zetu, hakuna kocha mkubwa kuliko club kama Harry Potter hawezi kuinga na kuingia kwenye mfumo wa CFC aondoke.