Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Timu elimalizia kwa nafasi ya tatu katika epl mwaka jana ikacheza fainali mbili ya FA na Carbao ikafika robo fainali ya champions league....CFC ni kubwa kuliko Harry Potter huyu jama mentality yake ni timu ndogo zilio zoea kushindwa kila metchi, mwaka jana City tulimfunga home and a way.
Home na away mlimfunga city kwenye kombe gani mkuu
 
Tunapitia wakati Mgumu kweli kweli. Ila naamini tutarudi tukiwa imara.
Timu ina laana hii, ni bora mngekubali hata kuibadili jina ikaitwa KONGOLO FC mkaepukana na hizi fedheha.
Screenshot_20220725_174521.jpg
 
Ni vigumu kurudi tukiwa imara tukiwa na average kocha mwenye mentality ya midtable timu, huwezi kuniambia timu ilio fika robo fainali ya European champions league na baadhi ya wachezaji wale wale mwaka jana, kwamba ina hitajika kujengwa upya, hapana hiyo timu ni ya kuendeleza tu, ukiwa na kocha sahihi, huyu jama wetu wasasa hana uwezo wa top timu kama Chelsea
Oyaa si uhamie mancity. Kule hawana mashabiki
 
Timu elimalizia kwa nafasi ya tatu katika epl mwaka jana ikacheza fainali mbili ya FA na Carbao ikafika robo fainali ya champions league....CFC ni kubwa kuliko Harry Potter huyu jama mentality yake ni timu ndogo zilio zoea kushindwa kila metchi, mwaka jana City tulimfunga home and a way.
sasa hivi hata mcheze na Namungo Fc hamtoboi, Harry Potter timu linaenda kumfia mikononi mwake.
Screenshot_20220830-101229.jpg
 
Timu elimalizia kwa nafasi ya tatu katika epl mwaka jana ikacheza fainali mbili ya FA na Carbao ikafika robo fainali ya champions league....CFC ni kubwa kuliko Harry Potter huyu jama mentality yake ni timu ndogo zilio zoea kushindwa kila metchi, mwaka jana City tulimfunga home and a way.
Mara ya mwisho kumfunga man city ilikuwa final ya CL....TT goli la goi goi Kai
 
Timu elimalizia kwa nafasi ya tatu katika epl mwaka jana ikacheza fainali mbili ya FA na Carbao ikafika robo fainali ya champions league....CFC ni kubwa kuliko Harry Potter huyu jama mentality yake ni timu ndogo zilio zoea kushindwa kila metchi, mwaka jana City tulimfunga home and a way.
Kumbuka amekabidhiwa timu wakati dirisha la usajili lilishafungwa..Amgekabidhiwa kabla yah hapo basi mngekuwa na haki ya kumlaumu.

Timu kufika nafasi ya 3 EPL,kucheza final Carabao na FA si sababu ya kumsingizia.
Hata Liverpool walikuwa nafasi ya 2 EPL na wakashinda Carabao na FA msimu uliopita.
 
Ni vigumu kurudi tukiwa imara tukiwa na average kocha mwenye mentality ya midtable timu, huwezi kuniambia timu ilio fika robo fainali ya European champions league na baadhi ya wachezaji wale wale mwaka jana, kwamba ina hitajika kujengwa upya, hapana hiyo timu ni ya kuendeleza tu, ukiwa na kocha sahihi, huyu jama wetu wasasa hana uwezo wa top timu kama Chelsea
Ukikutana na mtu ambaye haijui Chelsea halafu akasoma comment anaweza jamaa una point sana na unajua mpira. Ilasasa naanza kukubaliana na wengi humu wewe huna unachojua na sitaki kukuelimisha nakuacha kama ulivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka amekabidhiwa timu wakati dirisha la usajili lilishafungwa..Amgekabidhiwa kabla yah hapo basi mngekuwa na haki ya kumlaumu.

Timu kufika nafasi ya 3 EPL,kucheza final Carabao na FA si sababu ya kumsingizia.
Hata Liverpool walikuwa nafasi ya 2 EPL na wakashinda Carabao na FA msimu uliopita.
Kwani ubora wa Liverpool kwasasa unaweza ukaulinganisha na Chelsea, Liverpool inacho kosa ni form tu, itaibuka atamaliza juu ya Arsenal, sisi blues hatuna form hatuna football philosophy hatuna tactical coach tupo tupo tuna motivational speaker, hatuna hopes za kumalizia top 4 mpaka Harry Potter aondolewe.
 
Timu elimalizia kwa nafasi ya tatu katika epl mwaka jana ikacheza fainali mbili ya FA na Carbao ikafika robo fainali ya champions league....CFC ni kubwa kuliko Harry Potter huyu jama mentality yake ni timu ndogo zilio zoea kushindwa kila metchi, mwaka jana City tulimfunga home and a way.
Hicho ndicho fans tunapokosea na kuamini kuwa tunatim bora,

Hizo carabao cup n fa cup ndio zinazotuponza coz tunapenda mafanikio ya mda mfupi ila ya mda mrefu hatuyapendi, tunaamini tunawqchezaj wenye quality kumbe ni average na waliojaa inconsistenc

Kama unahitaj mafanikio ya kudumu na ya mda mrefu lazima machungu uyavumilie.
 
Timu elimalizia kwa nafasi ya tatu katika epl mwaka jana ikacheza fainali mbili ya FA na Carbao ikafika robo fainali ya champions league....CFC ni kubwa kuliko Harry Potter huyu jama mentality yake ni timu ndogo zilio zoea kushindwa kila metchi, mwaka jana City tulimfunga home and a way.
Msim ulioisha city katupiga game zote mbili home n away cha jabu tukiwa na total shot on target 1,
 
Msim ulioisha city katupiga game zote mbili home n away cha jabu tukiwa na total shot on target 1,
Msimu wa nyuma yake tulimpiga home and away akiwa na pep wao, msimu jana TT hakutaka ku press tukacheza defensive ndo lilo tu cost tu katoka 0-1 match zote mbili TT aka kili kwamba alikosea kwa kuto mpress huyu City kwasbb uwezo wakumchapa xity tulikua nao.
 
Kwani ubora wa Liverpool kwasasa unaweza ukaulinganisha na Chelsea, Liverpool inacho kosa ni form tu, itaibuka atamaliza juu ya Arsenal, sisi blues hatuna form hatuna football philosophy hatuna tactical coach tupo tupo tuna motivational speaker, hatuna hopes za kumalizia top 4 mpaka Harry Potter aondolewe.
Kwahiyo Liverpool unawaona wazima sana?

Hata kama kocha ni mbovu bado hawezi kulaumiwa Kwa timu aliyoikota njiani.
 
Hivi ile free kick ya Mahrez yule mswahili aliyesimama kama mstimu pale ni nani mpaka mpira ukapita juu ya kichwa yake bila hata kujitingisha?
 
Ukikutana na mtu ambaye haijui Chelsea halafu akasoma comment anaweza jamaa una point sana na unajua mpira. Ilasasa naanza kukubaliana na wengi humu wewe huna unachojua na sitaki kukuelimisha nakuacha kama ulivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Jamaa ni mweupe sana kichwani.

Pep Gadiola alikuja Man City 2016 akiikuta imetolewa nusu fainali UEFA na Real Madrid FC ilihali ni bingwa mtetezi wa EPL, lakini alisajili wachezaji wapya zaidi ya 11, hakufanikiwa chochote mwaka huo zaidi ya kuvumiliwa hadi msimu mwingine tena akasajili wachezaji zaidi ya 9.

Man City sasa hivi wanatamba tu, na hakuna mwaka ambao Man City alipitwa na klabu kubwa yoyote kwa kutengewa dau kubwa la usajili mbali na kuwa huwa inabeba makombe ya EP, Carabao na hata FA na kila mwaka hufanya usajili.

GP hawezi kulaumiwa mapema hivi sababu kabla ya Majeruhi kuwa wengi alitembea vizuri sana tu kwa matokeo, ila sasa hivi hata wale wachezaji waliokuwa wanampa sapoti ya kufanya vizuri nao ni Majeruhi ndiyomaana ana wakati mgumu.

1.James.
2. Chilwell.
3. Fofana.
4. Kovasich.
5. Chukwuemeka.
6. Arzabalaga.
7. Azaria.
8. Kante.

Pia wachezaji aliowakuta GP si yeye aliyewasajili na ni sababu kubwa sana maana huenda si aina ya wachezaji anaowataka yeye tokana na mfumo wake.

Lakini simshangai sana Jamaa maana ili dunia ibalansi, basi lazima pawepo na watu kama hao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom