Wakati Tuchel ndani ya misimu miwili kashinda international cups 3 ,na kaingia fainali mbili za mashindano ya ndani .
Huyu jamaa ilikuwa mistake Sana kumfukuza and we shall retreat this , nimekuwa nikisema hili Halafu ukiangalia jamaa culture ya timu ilikuwa imemkubali ,nikikumbuka kipindi kile timu ina majeruhi halafu timu imepigwa sanctions ,pesa zimekuwa frozen ,jamaa anatoa kauli publicly kuwatia moyo wachezaji na mashabiki .
Thomas Tuchel alikuwa mtu sahihi kwa Chelsea ,kumuondoa ilikuwa big mistake aisee na itatucost Sana .
Huyu yankee cowboy Todd anadhani kuendesha football club ni sawa na kuswaga ng'ombe kwenye raches .