verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,121
- 6,184
Karibuni tujumuike ndugu zangu
Hahahahahaha hahahahahahaVichwa vya habari vya Magazeti siku ya jumatatuView attachment 2407480
Hiki ndio kinawapa jeuri lakini uhalisia ni kwamba hiyo kesho mtapasuka vibaya
Timu imejaa wazee hii, kesho tutawakimbiza ,ulimi nje TUSasa hii ni timu au hospitali ya rufaa?
Acheni visingizio Kenge nyie, sisi tunachotaka muifunge hio misukule ya Arteta.





Mkiweka hivi mech inaisha half timeVs Aser8, 4-4-2 mambo yasiwe mengi.
---------- Sterling ----------- Auba -----------
Gallagher--Kovacic--Cheek --Mount
Cucu -----Koulibaly ----Silva ----- Chalo
Sehemu ya Cheek lazima acheze Zakaria, Cheek bado anatabia ya kuremba mpira miguuniVs Aser8, 4-4-2 mambo yasiwe mengi.
---------- Sterling ----------- Auba -----------
Gallagher--Kovacic--Cheek --Mount
Cucu -----Koulibaly ----Silva ----- Chalo