lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,482
Ebu tupeni mrejesho. Mimi sikubahatika kuangalia mechi jana kwa sababu za kiufundi
- Je Zakaria mchezo wake umeridhisha? Analysis na maoni ya Potter zinaonyesha kacheza vizuri na kwa nidhamu ya hali ya juu
- Je injury ya Chilwell ni serious?
- Je ni kweli Zakaria naye kapata majeraha madogo na ndio maana akafanyiwa sub?
Club Brugge
Inter Milan
Frankfurt
PSG
Dah sikubahatika kuangalia hii mechi.

Robert Gilber Carmona raia wa Uruguay, huyu babu ndiye anayeshikilia record ya dunia katika historia ya mpira wa miguu kufikisha miaka 60 akiwa bado anacheza.