Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ebu tupeni mrejesho. Mimi sikubahatika kuangalia mechi jana kwa sababu za kiufundi
  1. Je Zakaria mchezo wake umeridhisha? Analysis na maoni ya Potter zinaonyesha kacheza vizuri na kwa nidhamu ya hali ya juu
  2. Je injury ya Chilwell ni serious?
  3. Je ni kweli Zakaria naye kapata majeraha madogo na ndio maana akafanyiwa sub?
 
Timu tunazoweza kupangiwa katika hatua ya 16/mtoano

Confirmed: Chelsea's possible #UCL last-16 opponents:

Club Brugge
Inter Milan
Frankfurt
RB Leipzig
Borussia Dortmund
PSG

Draw will take place on Monday 7th November.
IMG-20221103-WA0004.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Graham Potter's Group E record: W4, D1.

The last #Chelsea manager to go unbeaten in his first five #UCL games in charge of the club was Roberto Di Matteo in 2011/12.

[via @WilliamHill]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha Dah sikubahatika kuangalia hii mechi.

Nimefungua livescore nimeangukiwa na kitu kizito baada ya kuona Zakaria alicheza na kufunga goli.

Naitwa Dennis Zakaria nimesajiliwa kwa kazi moja tuu kucheza na kufunga magoli ya ushindi.

View attachment 2405490
Zakaria : “Im very excited, I’m very happy, I think it’s important for me to play a good game, the job is done today, it’s been very difficult I have to say, I left Juventus to play and I waited for my chance, the manager said play like you did in training”

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ben chillisosi nae majeruhi ,duh nyie jamaa

Huyu Mendy mguuni mbovu na Potter anataka mpira uanzie nyuma

Naona dalili tukijipatia goli la bure
 
ANAWAFAA CHELSEA HUYU ASAIDIANE NA BABU SILVA NA KOULIBALY

Robert Gilber Carmona raia wa Uruguay, huyu babu ndiye anayeshikilia record ya dunia katika historia ya mpira wa miguu kufikisha miaka 60 akiwa bado anacheza.

Carmona alizaliwa tarehe 30 April 1962 kule jijini Montevideo nchini Uruguay, alianza kucheza soka la kulipwa tangu mwaka 1976 mpka sasa bado anacheza, amecheza katika vilabu takribani 30 ikiwemo River Plate na Liverpool ya nchini Uruguay, ameshacheza michezo rasmi 2,200 mpka sasa tangu alipoanza kucheza soka la kulipwa.

Carmona kwa sasa anacheza katika klabu ya Hacele Un Gol A la Vida inayoshiriki ligi daraja la tatu nchini Uruguay, Carmona pia amewahi kupata nafasi ya kucheza na marodona katika klabu ya Newell' Old Boys.
FB_IMG_1667467354610.jpg
 
Majeruhi ya James, Kante, Fofana na sasa Chilwellkinachotupunguzia makali ni WC, isingekuwepo WC huo msongamano wa mechi za Desemba tungeimba laleyo
 
Huyu Zakaria ni mzuri, first impression yake imeonekana jana, ameinfliuence timu kushinda. Naona atafaa sana kwenye falsafa ya Potter ya kushmabulia.
Tatizo lake kubwa liko sawa na tatizo la James, Chilwell na Kante. Yuko injury prone. Tukiweza kulitatua hilo tumfaidi sana positive mentality, nidhamu, kufuata malekezo ya kocha, juhudi, nguvu nk
 
ANAWAFAA CHELSEA HUYU ASAIDIANE NA BABU SILVA NA KOULIBALY

Robert Gilber Carmona raia wa Uruguay, huyu babu ndiye anayeshikilia record ya dunia katika historia ya mpira wa miguu kufikisha miaka 60 akiwa bado anacheza.

Carmona alizaliwa tarehe 30 April 1962 kule jijini Montevideo nchini Uruguay, alianza kucheza soka la kulipwa tangu mwaka 1976 mpka sasa bado anacheza, amecheza katika vilabu takribani 30 ikiwemo River Plate na Liverpool ya nchini Uruguay, ameshacheza michezo rasmi 2,200 mpka sasa tangu alipoanza kucheza soka la kulipwa.

Carmona kwa sasa anacheza katika klabu ya Hacele Un Gol A la Vida inayoshiriki ligi daraja la tatu nchini Uruguay, Carmona pia amewahi kupata nafasi ya kucheza na marodona katika klabu ya Newell' Old Boys.View attachment 2405703
Wazee ni TUNU sijui wewe utakua unaishi jamii gani isiyokuwa na wazee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Zakaria ni mzuri, first impression yake imeonekana jana, ameinfliuence timu kushinda. Naona atafaa sana kwenye falsafa ya Potter ya kushmabulia.
Tatizo lake kubwa liko sawa na tatizo la James, Chilwell na Kante. Yuko injury prone. Tukiweza kulitatua hilo tumfaidi sana positive mentality, nidhamu, kufuata malekezo ya kocha, juhudi, nguvu nk
Ila Chelsea ni huwa ninawaambia kuna kitu hakiko sawa kwenye benchi letu la afya hii mtake msitake , jana Chillwell naye ndio hivyo , yaani timu nzima wachezaji nyundo mkononi hii ni hatari sana ,sasa key players kama hawa ndio wanaoumia kila siku na nusu msimu wapo nje , tutakuwa tunajidanganya kwamba tutashinda makombe kwa style hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom