Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

2 on goals ? Mna shida pahala !

Adui muombee njaa!

Sterling Amna kitu mle,,, mmbinafsi, nafasi kumi anakosa 9 anapata moja,,,
kwa CAM ipi ya Chelsea,? Bora angebaki kwa kina KDB na foden walau wangemlisha lisha !
 
Ulinzi shirikishi wa CB 3 ndio habari ya mjini. Chalobah katika mechi 31 aliyocheza Chelsea hadi sasa Chelsea haijafungwa. Leo Chelsea isipofungwa ni game yake ya 32 akiichezea Chelsea mfululizo bila kupoteza mchezo
Chalobah vipi uko
 
Wewe tatizo lako ni kubisha tu, hutaki kujifunza kwa wenzio jitahidi uwe kama wenzio hapa kwenye platform
Wewe umejifunza kwa nani tangu lini, naonaga unaona wewe tu correctly, ukizidiwa unapotea. Kama unatoa uchanganuzi wa kwa nini point yako corect hakuna atakayewkubishia kama una mantic. Ila wewe uje tu na kusema kwa sababu ya mabeki watatu tunafungwa. nani anakuunga mkono?. Kosa la kufungwa ni tofauti kabisa na mabeki matatu. Au ungesema kwa wachezaji waliopo GP angeweka CB wawili ungeeleweka kwa sababu hawa Wing-backs waliowekwa wametuuza hawawezi kukaba. Sterling hawezi kukaba na Pulisic hawezi kukaba. Tuseme tu Poter leo kavuruga lineup yote kuaznia kwa ma fullbacks hadi mbele. Hata akirekebisha HT it is too late
 
Ilibaki kidogo nikushikishe ukuta wa daraja. ukaonewa huruma. Pungiza maneno.
Nyie Kenge mnanajisiwa vizuri mno leo na Brighton.
Kipindi cha kwanza tu tayari wanaume wamemaliza pakti moja, mkirudi kipindi cha pili wanaume wanafungua pakti ya pili.
Hivi mna uhakika Harry Potter kweli ni kocha au ni mzee wa hollywood?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom