Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

All the Best chama langu, Ila kwa Kikosi hichi kule mbele Mungu saidia
Screenshot_20221029-160831_All%20Football.jpg
 
All the Best chama langu, Ila kwa Kikosi hichi kule mbele Mungu saidiaView attachment 2401195
Kwa kuweka walinzi watatu nyuma akiwemo chalobah na sterling kumweka kati kati, tutafungwa asbhi tu, labda afanye sub mapema kule mbele hamna mtu, pulisic na mount hawawezi kufuata mipira na kuivusha.huyu kocha mbinu zake ni za kubahatisha sanaaa.
 
Joginho hayupo, hii gem tunashinda si chini ya goli mbili.
Ila Jorginho lately amekuwa akicheza kama Poter anavyotaka kwa kupeleka mashabulizi mbele. tuone leo Kova kama atacheza bila misuli kuwasha
 
Kwa kuweka walinzi watatu nyuma akiwemo chalobah na sterling kumweka kati kati, tutafungwa asbhi tu, labda afanye sub mapema kule mbele hamna mtu, pulisic na mount hawawezi kufuata mipira na kuivusha.huyu kocha mbinu zake ni za kubahatisha sanaaa.
Ulinzi shirikishi wa CB 3 ndio habari ya mjini. Chalobah katika mechi 31 aliyocheza Chelsea hadi sasa Chelsea haijafungwa. Leo Chelsea isipofungwa ni game yake ya 32 akiichezea Chelsea mfululizo bila kupoteza mchezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom