Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,385
Wapi OllaChuga Oc
HahahahaUlinzi shirikishi wa CB 3 ndio habari ya mjini. Chalobah katika mechi 31 aliyocheza Chelsea hadi sasa Chelsea haijafungwa. Leo Chelsea isipofungwa ni game yake ya 32 akiichezea Chelsea mfululizo bila kupoteza mchezo
Unasemaaa??😂😂😂Joginho hayupo, hii gem tunashinda si chini ya goli mbili.



Tatizo lako huna msimamo unahamahama wewe ni kigeugeu nilisema mapema tunafungwa kwa kuweka walinzi watatu..... ukasema eti ulinzi shilikishi ndo habari ya mjini, huyu Loftus cheek afanye ulizi gani, sasa hivi ndo umeanza kuliona.Leo tutafungwa sana kwa press hii ya Brighton
Wewe hujui hata mpira, hatufungwi kwa sababu ya walinzi watatuTatizo lako huna msimamo unahamahama wewe ni kigeugeu nilisema mapema tunafungwa kwa kuweka walinzi watatu..... ukasema eti ulinzi shilikishi ndo habari ya mjini, huyu Loftus cheek afanye ulizi gani, sasa hivi ndo umeanza kuliona.


