Nimekuja kufurahia kama arsenal fan
Chelsea ashinde au sare ndio tunachotaka arsenal fans.Tuna tuma salamu mjiandae jumamosi tunakuja hapo.
Wasare tuChelsea ashinde au sare ndio tunachotaka arsenal fans.
Kuna mtu alinicrush Sana humu niliposema hiviGalagher kaumia n katoka kaingia Kovacic
Idara yetu ya matibabu kunashida sio bure, miaka ya hiv karibun tumekuwa tunasumbuliwa na majeruhi
Kiburi ni cha Potter mwenyewe hajui timu ya ushindi ni ipi mpaka sasaHawa kenge wameanza tena viburi nini ? Maana ile ndio kawaida Yao akina kocha mpya wanakiwasha kweli akizoea kidogo wanaanza mauvivu na upuuz
Sasa kocha mgeni atatoa wapi first eleven????Huyu Potter sioni kama yuko serious kwenye kuipa timu matokeo maana tangu amekuja amekuwa hana first 11 yeye anafanya majaribio kila mechi
Hajui kama sisi mashabiki tunataka matokeo na sio majaribio yake akafanye mechi za carabao na Fa sio mechi za ligi au Uefa
Galagher hajaumia, katoka kwa sababu alijisikia anaumwa mafua/homa. Ni jambo la masaa 24 tu hopefullyGalagher kaumia n katoka kaingia Kovacic
Idara yetu ya matibabu kunashida sio bure, miaka ya hiv karibun tumekuwa tunasumbuliwa na majeruhi
Galagher hajajeruhiwa, just illness. Hata hivyo sidhani kama mkuu wa Physio therapy kaajiriwa kwa sababu yule wa akina Marina alifukuzwa kaziKuna mtu alinicrush Sana humu niliposema hivi
Mashabiki kama wewe hasara mno...Huyu Potter sioni kama yuko serious kwenye kuipa timu matokeo maana tangu amekuja amekuwa hana first 11 yeye anafanya majaribio kila mechi
Hajui kama sisi mashabiki tunataka matokeo na sio majaribio yake akafanye mechi za carabao na Fa sio mechi za ligi au Uefa
Tunacheza na nyumbu jmosi ulitaka ampange nani mkuu?Kocha kazingua kwenye kikosi
Hizi kenge jumamosi zitateseka sana pale darajani.Tuna tuma salamu mjiandae jumamosi tunakuja hapo.