High pressing sio kuitaja tu lazima iandane na skills quality na kasi za wa chezaji Chelsea vs Mancity, one on one hatuna wachezaji wa high pressing kufanya Mancity ifanye makosa tuwe realistic Loftus cheek afanye high pressing kwa KDB au kwa Forden au Gurdgourn, tuwe seriou kdgo hata kama sie ni wa shabiki wa the blues,High Pressing inatakiwa ifanywe na kila mchezaji, Lengo la high pressing ni kumnyima adui asicheza na akilazimisha nafanya makosa mengi ikiwemo kuachia nafasi, kucheza faulu mbaya, kupoteza mipira nakadhilika, Inawezekana, wachezaji wapewe maelekezo tu. Kinachowasaidia Arsenal hadi sasa ni high pressing, Liverpool walifanyiwa hivyo wakatolewa njke ya lengo na hata Arsenal wakikutana na City watawachezea hivyo hivyo
Timu zinazokaa sana na mpira ukifanikiwa kufanya high presisng haina plan B ya kucheza unamaliza kazi. Madhara ya high press inaweza kusababisha foul, kadi na hata red card
Tuna baadhi ya wachezaji ambao hawawezi kupiga pass 3 sahihi bila kupoteza mpira.
mipira itakao tunusuru given our our squad ni ya counter attacks kwa mipira mrefu kutoka katika ya uwanja sterling na Auba wana kasi ya kugombania hiyo mipira, hatuwezi kucheza kama Liverpool wachezaji wa hiyo quality hatuna bado ndo tuna wategeneza


