Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaani Mings na Kepa ndio wametufanya tuwe mbele. Wachezaji wengi leo wako hovyo sana
Hata Silva anasaidia kufagia. Mount mbele afadhali waliobaki hovyo kabisa
 
Potter kazingua na hichi kikosi alichoanza nacho hasa mabeki
Je bado anazingua?
Wachezaji leo hawakuwa kwenye form kocha amejitahidi sana na ndio tofauti ya GP na TT,
Cucurella, Havertz, Kovacic, Auba hawakuwa kwenye form leo na HT kaanza na hao wawili Cucu na Havertz
Asingewahi kufanya mabadiliko sio ajabu leo tungelala 2-1 au 3-1
 
Nafurahi sana hao wapenda bure na wadandiaji wakifinywa finywa
RM vs Barca 2-0 HT
 
Je bado anazingua?
Wachezaji leo hawakuwa kwenye form kocha amejitahidi sana na ndio tofauti ya GP na TT,
Cucurella, Havertz, Kovacic, Auba hawakuwa kwenye form leo na HT kaanza na hao wawili Cucu na Havertz
Asingewahi kufanya mabadiliko sio ajabu leo tungelala 2-1 au 3-1
Auba atakuaje kwenye form ikiwa hakuna service aliyopata striker anaishi kwa huduma ukiwa haumpi huduma atakuwaje Bora ili awe ilitakiwa wachezaji waliomzunguka wamtengenezee chances za kufunga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom