Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,468
- 14,620
Sisi hao
Kule Acadeny kuna dogo anaitwa Omari Hutchnson, dogo yuko vizuri sana, huyu ni hazina ya tim.
Nyie cheltako waulizeni nyumbu sisi Brentford ni wakina Nani tutawachakaza mpka mumkimbize Kocha timua timua fc
TONEY HAT TRICK![]()
Anacheza kiungo mshambuliajiAnacheza namba ngapi
Acha kulia lia wewe na usikute uliweka mitimu kibao na imekuchania yote
Dah mimi huwa sibeti mkuu.