Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Leo lazima asernal tumkalishe saba bila!
Na bet mke wangu na asernal fan yeyote yule,Leo Chelsea tunashinda 4,lakini masharti na wewe umeweke hata Dada yako
Na bet mke wangu na asernal fan yeyote yule,Leo Chelsea tunashinda 4,lakini masharti na wewe umeweke hata Dada yako
@mwekundu hata demu tu huna..lol!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!hahahahahahahahahahahahahahahahahaha
Ila mimi mshika bunduki yeyote yule anayepataga lunch yake maeneo ya POSTA DSM kesho anidai lunch worth 20,000/- iwapo watashinda...!!!
Tumecheza mpira mbovu sana chelsea!Tunahitaji mtu anayejua kuchungulia nyavu kama Suarez.Kuna wakati huwa najuta kwanini tulimuuza Sturridge
Mourinho ndo wakufukuzwa kwanza maana kama hela ya usajili apewa nyingi na kusajili atakavyo tofauti na Moyes
Tumecheza mpira mbovu sana chelsea!Tunahitaji mtu anayejua kuchungulia nyavu kama Suarez.Kuna wakati huwa najuta kwanini tulimuuza Sturridge
Mfarisayo unaruhusiwa kumchukia Mourinho, kama ilivyo kawaida ya "mafarisayo". Lakini ni lazima ukubali takwimu hizi hapa kwa msimu huu tu;
Man United 0 - 0 Chelsea(Old T)
Tottenham 1 - 1 Chelsea (White H. Lane)
Chelsea 2 - 1 Man City (at the Bridge)
Arsenal 0 - 0 Chelsea (emirates stadium)
*Bingwa anawafunga mabingwa wenzake..ni kweli tunafungwa na Stoke, Sunderland, nk. lakini sisi huwa hatufungwi kirahisi na wale ambao tunashindania nao ubingwa. Respect The Blues, respect Chelsea: We are the Champions.
Mfarisayo unaruhusiwa kumchukia Mourinho, kama ilivyo kawaida ya "mafarisayo". Lakini ni lazima ukubali takwimu hizi hapa kwa msimu huu tu;
Man United 0 - 0 Chelsea(Old T)
Tottenham 1 - 1 Chelsea (White H. Lane)
Chelsea 2 - 1 Man City (at the Bridge)
Arsenal 0 - 0 Chelsea (emirates stadium)
*Bingwa anawafunga mabingwa wenzake..ni kweli tunafungwa na Stoke, Sunderland, nk. lakini sisi huwa hatufungwi kirahisi na wale ambao tunashindania nao ubingwa. Respect The Blues, respect Chelsea: We are the Champions.
hata km tungekuwa na suarez sidhani km angeweza kubadili matokeo. mou mzinguaji tu mi siwezi kuwalaumu wachezaji ila naamini mou ndo atakuwa aliwaambia wacheze mpira wa kulinda na kufanya shambulizi za kushtukiza. mechi imeniboa sn na tubishe tukatae mou kaishiwa mbinu na chelsea kuchukua ubingwa ni ndoto. hata akimsajili mtu km falcao kwa uchezaji wake hatafanya chochote. inaudhi timu inawachezaji mahiri lakini anakiogopa kikosi km cha arsenal
Umekosea reginahope,
Mourinho's style is score but concede less..hilo ndilo huwa lengo lake kuu! Now he thrived sana when he had Drogba, mtu mwenye nguvu na akili ya mpira tofauti na mspanyiola Torres.
Kama uliangalia vizuri ilifika kipindi forwads awampi tena passes kwani hata ingekuwa wewe ungekata tamaa kati ya pasi kumi alizopewa kapoteza nane.
Mourinho ana akili sana, na ofcourse kama mshabiki una haki ya kuona kakosea ila jitahidi sana kuona the big picture.