Kufungwa kwa Chelsea kunaifanya mechi na Arsenal kuwa more interesting.
Hata hivyo, kama Chelsea watacheza kama walivyocheza jana watafungwa magoli mengi tuu.
They posses the ball, lakini bado hawana ile cutting edge. They can't kill the game.
Halafu siku hizi Chelsea wanapenda sana pass za nyuma. Why?
Wakiwa na mpira wanapasiana, pasiana kwa kurudi nyuma weeeeeee mpaka inaboa.
Yaani mchezaji anatoa pass ya nyuma ambayo is completely useless.
By the time wanafika mbele unakuta timu pinzani imeshajipanga vya kutosha.
So far mchezaji ambaye naona hachezi pass za kinyume nyume ni David Luiz.
Jose anaharibu timu na hajui anachokifanya! Mtabisha sana lakini ndio ukweli wenyewe.
Chelsea ya Benitez ilikuwa inacheza mpira wa kuvutia sana na walikuwa wanaflow na kutiririka yaani ilikuwa timu inatisha. Benitez aliwaanzisha 3 Amigos (Oscar, Matta and Hazard) nyuma yao wakisaidiwa na Ramirez na Luiz, mbele alimweka Torres/Demba na wote walicheza dakika zote 90 na walikuwa wanatisha sana. Hakuna mtu alitaka kukutana nao.
Leo hii Chelsea defense iko vulnerable, 3 amigos hawachezi tena pamoja, mpira wao ni wa kujihami hami tuuu na sio ule wa attacking and fluid passes. Under Benitez mpira ulikuwa ukivuka half yao haurudishwi nyuma na ilikuwa ni kushambulia tuu.
Huyo Tim Cahill ni mzigo kule nyuma.
Azipuculeta naona anakimbiakimbia tu na sioni anachokifanya.
Luiz anawekwa bench, sawa ingawa kaumia.
Matta anakaa bench.
Yule mjerumani sijui Scherlhe yuko very average.
Angalau Willian anatia moyo. Chelsea ya Benitez was far much better than Jose's.
Arsenal wana chance kubwa sana ya kushinda, labda tu mzee wao wa kigugumizi (Metusacker) ndie mzigo na anaweza akasababisha dozi kule nyuma.
All in all I think Arsenal has a better chance of beating Chelsea in the upcoming showdown.