Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

mourinho huwa haachi kombe hata la mbuzi....wamechapwa tu hao,hamna timu hapo na jumatatu wanapigwa na arsenal wachovu hawa......

Ile iliyofungwa sio first eleven ya siku zote na tatzo ni wachezaj wenyewe maana wanatawala mchezo lakn hawafungi, ila soon watajielewa tu kabla hata ya game na arsenal
 
mourinho huwa haachi kombe hata la mbuzi....wamechapwa tu hao,hamna timu hapo na jumatatu wanapigwa na arsenal wachovu hawa......

mou akiendelea na staili yake hatafika popote na huenda asimalize msimu akamfata AVB. Mzinguaji tu mi sioni mpira anaocheza. mdomo tu hana lolote na huenda hata hao mastricker akiwaleta wakashindwa kufanya anayetarajia. mechi ya jana nimeicheki pia ile mechi ya crystal palace sijaona mpira aliocheza ingawa timu inawachezaji wenye uwezo mkubwa sn. huyu mou kashaishiwa mbinu na ukiangalia msimu ulopita madrid hakubeba kikombe hata kimoja mby zaidi anakiponda kikosi chake kuwa hakina uwezo wa kuchukua kombe lolote. hv jamani kwa kocha mzuri kkosi cha chelsea ni kibaya? ni naamini km ye angekuwa kocha mzuri kwa kile kikosi hata uefa kibaweza kuleta ushindani mkubwa sn.
 
994695_10153598551475508_475598257_n.jpg
 
Ile iliyofungwa sio first eleven ya siku zote na tatzo ni wachezaj wenyewe maana wanatawala mchezo lakn hawafungi, ila soon watajielewa tu kabla hata ya game na arsenal

Kiwango cha Chelsea ni kidogo sana msimu huu mechi nyingi sana wanaponea chupuchupu kufungwa hata na timu za kawaida mara nyingi sana marefa ndo wameokoa jahazi (Refer game ya Westbrom na nyinginezo). Hata game na Sunderland kwenye ligi Chelsea ilikua hoi sana hivyo kwa jana haikua na shaka hata kidogo kuwa Chelsea lazima ingefungwa tu, Jana hasa kipindi cha pili Sunderland alitawala sana mchezo na kukosa magoli mengi kuliko Chelsea
 
Kiwango cha Chelsea ni kidogo sana msimu huu mechi nyingi sana wanaponea chupuchupu kufungwa hata na timu za kawaida mara nyingi sana marefa ndo wameokoa jahazi (Refer game ya Westbrom na nyinginezo). Hata game na Sunderland kwenye ligi Chelsea ilikua hoi sana hivyo kwa jana haikua na shaka hata kidogo kuwa Chelsea lazima ingefungwa tu, Jana hasa kipindi cha pili Sunderland alitawala sana mchezo na kukosa magoli mengi kuliko Chelsea

hasa goli la dogo la kuchomoa..
 
Kufungwa na kushinda ni kawaida ya mchezo:

Pep Guardiola kafungwa na City 3-2 hivi majuzi!
Arsene Wenger hajachukua hata hilo 'kombe la mbuzi' tangu mwaka 2004.
Man City walifungwa fainali ya FA msimu uliopita kombe akabeba Wigan..

Ukiwa mzungumzaji ujue na kumbukumbu. Kila kocha ana mapungufu yake. Angalia historia ya makocha wa chelsea ..hajawahi kutokea kocha mwenye rekodi nzuir ya ushindi kuzidi Mourinho.
NB: Arsenal - 35; Liverpool -33; Chelsea-33; Man City -32; Everton-31.
Sielewi Mfarisayo "Man Utd" unataka aanze kufukuzwa nani, Moyes au Mourinho?
 
Mourinho alipenda mpira wa kukaba kuliko kushambulia 'watu mkasema' timu haichezi mpira mzuri.
Mourinho anafundisha timu inacheza mpira wa kuvutia wanatengeneza nafasi nzuri za magoli..tatizo dogo tu kwenye umaliziaji mnaanza kuchonga..

Hadi sasa: Arsenal kapoteza gemu 3; vs Man Utd, vs Man City, vs Aston Villa.
Hadi sasa; Chelsea imepoteza gemu 3 pia. Sasa shida iko wapi?
 
Mwaka jana bingwa wa kombe la Capitol one alikuwa Swansea City.
Mwka jana bingwa wa FA Cup alikuwa Wigan FC. ..wengine mlikuwa wapi msichukue hayo 'makombe' ya mbuzi?
 
Kufungwa na kushinda ni kawaida ya mchezo:

Pep Guardiola kafungwa na City 3-2 hivi majuzi!
Arsene Wenger hajachukua hata hilo 'kombe la mbuzi' tangu mwaka 2004.
Man City walifungwa fainali ya FA msimu uliopita kombe akabeba Wigan..

Ukiwa mzungumzaji ujue na kumbukumbu. Kila kocha ana mapungufu yake. Angalia historia ya makocha wa chelsea ..hajawahi kutokea kocha mwenye rekodi nzuir ya ushindi kuzidi Mourinho.
NB: Arsenal - 35; Liverpool -33; Chelsea-33; Man City -32; Everton-31.
Sielewi Mfarisayo "Man Utd" unataka aanze kufukuzwa nani, Moyes au Mourinho?

upo sahihi bro ila mou wa sasa binafsi sidhani km atafanya vizuri. mechi nyingi anashinda kwa shida sn. mou akifungwa ndo huwa anashambulia sn na huwa anabadili formation na kutumia 4:4:2 ambayo binafsi huwa naikubali sn timu vinginevyo ndo km jana hakuna pressure kubwa langoni mwa wapinzani. chelsea ya di mateo na hata benitez nadhani zilikuwa zinacheza vizuri kuliko ya mou
 
article-2525561-1A2A8EB700000578-939_634x534.jpg


Mou: Furious at the strikers

article-2525561-1A2AE32200000578-711_634x355.jpg


The goal that killed us. Reminded me of the Super cup against Bayern.

article-2525561-1A2AED8A00000578-653_634x407.jpg


flop!


article-2525561-1A2A944200000578-904_634x430.jpg


Flop!


article-2525561-1A2AE7F500000578-17_634x464.jpg


Understudy aliyemshinda bosi wake..!!!


article-2525561-1A2AA87E00000578-684_634x438.jpg


Not enough!


article-2525409-1A2AAABB00000578-34_634x511.jpg


Legend & Flop in one picture!


article-2525409-1A2A871700000578-937_634x438.jpg



article-2525409-1A2A940200000578-641_634x467.jpg



article-2525409-1A2A8E3000000578-991_634x467.jpg


Rare start...


article-2525409-1A2A8A1800000578-523_634x465.jpg


Comeback...


article-2525409-1A2AAEE000000578-479_634x419.jpg


Good try!
 
Kufungwa na kushinda ni kawaida ya mchezo:

Pep Guardiola kafungwa na City 3-2 hivi majuzi!
Arsene Wenger hajachukua hata hilo 'kombe la mbuzi' tangu mwaka 2004.
Man City walifungwa fainali ya FA msimu uliopita kombe akabeba Wigan..

Ukiwa mzungumzaji ujue na kumbukumbu. Kila kocha ana mapungufu yake. Angalia historia ya makocha wa chelsea ..hajawahi kutokea kocha mwenye rekodi nzuir ya ushindi kuzidi Mourinho.
NB: Arsenal - 35; Liverpool -33; Chelsea-33; Man City -32; Everton-31.
Sielewi Mfarisayo "Man Utd" unataka aanze kufukuzwa nani, Moyes au Mourinho?

Mourinho ndo wakufukuzwa kwanza maana kama hela ya usajili apewa nyingi na kusajili atakavyo tofauti na Moyes
 
article-2525561-1A2A8EB700000578-939_634x534.jpg


Mou: Furious at the strikers

article-2525561-1A2AE32200000578-711_634x355.jpg


The goal that killed us. Reminded me of the Super cup against Bayern.

article-2525561-1A2AED8A00000578-653_634x407.jpg


flop!


article-2525561-1A2A944200000578-904_634x430.jpg


Flop!


article-2525561-1A2AE7F500000578-17_634x464.jpg


Understudy aliyemshinda bosi wake..!!!


article-2525561-1A2AA87E00000578-684_634x438.jpg


Not enough!


article-2525409-1A2AAABB00000578-34_634x511.jpg


Legend & Flop in one picture!


article-2525409-1A2A871700000578-937_634x438.jpg



article-2525409-1A2A940200000578-641_634x467.jpg



article-2525409-1A2A8E3000000578-991_634x467.jpg


Rare start...


article-2525409-1A2A8A1800000578-523_634x465.jpg


Comeback...


article-2525409-1A2AAEE000000578-479_634x419.jpg


Good try!

as usual chelsea huffed and puffed.....better get prepared for A HIDING on monday.......
 
Nkwingwa wangu Ntuzu yuko wapi?...

Amepotea ghafla

kumbe na wewe huwa unakuja huku wenzio wakifungwa???nilifikiri huwa unabaki kule kule.....hawa wachovu jumatatu mtawapiga ingawa naombea sana ARSENAL ale kichapo......
 
Kufungwa na kushinda ni kawaida ya mchezo:

Pep Guardiola kafungwa na City 3-2 hivi majuzi!
Arsene Wenger hajachukua hata hilo 'kombe la mbuzi' tangu mwaka 2004.
Man City walifungwa fainali ya FA msimu uliopita kombe akabeba Wigan..

Ukiwa mzungumzaji ujue na kumbukumbu. Kila kocha ana mapungufu yake. Angalia historia ya makocha wa chelsea ..hajawahi kutokea kocha mwenye rekodi nzuir ya ushindi kuzidi Mourinho.
NB: Arsenal - 35; Liverpool -33; Chelsea-33; Man City -32; Everton-31.
Sielewi Mfarisayo "Man Utd" unataka aanze kufukuzwa nani, Moyes au Mourinho?

Mourinho wa sasa kachoka sana hana ujanja tena, yeye mwenyewe analijua hilo ndo mana hata kubwabwaja kumepungua sasa hv
 
Kufungwa na kushinda ni kawaida ya mchezo:

Pep Guardiola kafungwa na City 3-2 hivi majuzi!
Arsene Wenger hajachukua hata hilo 'kombe la mbuzi' tangu mwaka 2004.
Man City walifungwa fainali ya FA msimu uliopita kombe akabeba Wigan..

Ukiwa mzungumzaji ujue na kumbukumbu. Kila kocha ana mapungufu yake. Angalia historia ya makocha wa chelsea ..hajawahi kutokea kocha mwenye rekodi nzuir ya ushindi kuzidi Mourinho.
NB: Arsenal - 35; Liverpool -33; Chelsea-33; Man City -32; Everton-31.
Sielewi Mfarisayo "Man Utd" unataka aanze kufukuzwa nani, Moyes au Mourinho?


guardiola kafungwa lakini amequalify last 16,mourinho knocked out na struggling team....
arsenal walichukua FA CUP 2005[kombe kubwa kuliko carling a.k.a capital one]
ndio maana mancini sio kocha wa man city tena
kufukuzana hovyo ni policy ya chelsea sio man utd

 
Mtasema sana but am sure tufungwe hata na timu daraja la ngapi, Arsenal ni wachumba zetu tu. #quote me on that any day!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom