Kwani Auba ametoka baca au Ass analWashukuruni sana Arsenal kwa ajili ya Aubameyang.😂
Kwani Auba ametoka baca au Ass analWashukuruni sana Arsenal kwa ajili ya Aubameyang.😂
Kwanini aisei...?Chalobah ni takataka nyingine
We umefunga mjadala anambeza Raheem sterling mwenye goal 3 na assist 3 mpaka sasa alafu anawaacha Mount na kai ambao hawana goal wala assist kwa pale mbele sterling anajitahidi kuliko hao wengine ukiacha tu yote lakini anatusaidia Sana kwenye pressing, kuangaisha mabekiSterling sio mpuuzi bali timu inatengeneza nafasi chache za kufunga kiasi ambacho sterling akipoteza moja anaonekana mpuuzi.
Ila pale CITY hakuonekana mpuuzi kwa sababu alikuwa anatengenezewa nafasi nyingi sana, akipoteza 6 atafunga 2.
Ila alichonifurahisha alipoteza nafasi lakini alitoa assist iliyochangia ushindi.
Cha muhimu kocha aendelee kuimarisha eneo la kiungo na Ushambuliaji zitengenezwe nafasi nyingi za kufunga.
DM takwimu za magoli na assist wapi na wapi mkuuDENNIS ZAKARIA
JUVENTUS FC
Msimu 21/22
Mechi - 10
Goals - 0
Assist - 1
Msimu 22/23
Mechi - 5
Goal - 1
Assist - 0
CHELSEA FC
Msimu 22/23
Mechi - 0
Goal - 0
Assist - 0View attachment 2378768
Dah ! Yaani hata Mimi huwa naona sometimes ni kama charity Tu hasa hivi vilabu vikubwa vinavyospend pesa ndefu halafu mauzo unakuta bonge la loss ,sijui huwa Wana recover vipi hiyo loss aisee 115-20= 95 million hii loss wanaibalance vipi ?Antoine Griezmann aliuzwa Euro 120M kwenda Barcelona msimu wa 2019/20
Sasa msimu wa 2023/24 Anauzwa back to ATM kwa Euro 20M
Lukaku tulimnunua kwa Euro 115M msimu wa 2021/22
Chelsea wanataka kumuuza back to Inter na itakuwa sio zaidi ya Euro 20M
Biashara ya mpira inachekesha sana
Kabisa ,ametuchomesha Sana Yule kenge kuanzia UEfA champions League dhidi ya Madrid msimu uliopita ,Mimi naamini tulikuwa na nafasi ya kufika fainali UCL iliyopita na hata kuchukua kabisa ,Maana ukitoa Madrid waliobakia wote walikuwa nanga Tu .Tungewabonda , Msimu Huu nao ameleta upuuz Tu tangia pre seasonKepa ndio karudi kwenye namba 1 yake au?
Mendy jana alikuwa fit
Mimi naona akila benchi itakuwa nzuri ili akirudishwa aache uzembe wa kijinga aliokuwa anaanza kuuonyesha
Anakuja Raphael Leao atakuwa kushoto na Sterling Kulia katikati Auba, attacking MF atakuwa Nkunku, hao wanne tusipotoboa basi tenaNdio maana natamani tusajili winga matata ya kulia, wings zote ziwe korofi kwa mpinzani.
Mount sio KDB.
Auba hawezi cheza Chelsea zaidi ya misimu 2, muondoe kwa hesabu zakoAnakuja Raphael Leao atakuwa kushoto na Sterling Kulia katikati Auba, attacking MF atakuwa Nkunku, hao wanne tusipotoboa basi tena
Mapema mno, Auba ana mkataba na Chelsea hadi 2025, atakavyocheza na kufunga ndio itaamua amalize miwili tu kama first no. 9 au aongeze mkatabaAuba hawezi cheza Chelsea zaidi ya misimu 2, muondoe kwa hesabu zako
Jamaa sijui alikumbwa na nn hapa recently ..makosa ya kindezi sanaKabisa ,ametuchomesha Sana Yule kenge kuanzia UEfA champions League dhidi ya Madrid msimu uliopita ,Mimi naamini tulikuwa na nafasi ya kufika fainali UCL iliyopita na hata kuchukua kabisa ,Maana ukitoa Madrid waliobakia wote walikuwa nanga Tu .Tungewabonda , Msimu Huu nao ameleta upuuz Tu tangia pre season
Walifungwa 5-3 ila jamaa akawa man of the match. Man city wanamfahamu vizuri sana huyo mtu.Kumbe Nkunku alishajipatia hat-trick pale Etihad mwaka jana kwenye UEFA?
Nimeona taarifa Chelsea Wana mpango wa kumuongezea miaka 2 na pia kumpa nafasi ya ndani ya club pindi atakapo retireMnaonaje jamani vichwa vya Silva, Tatu za nguvu na ya tatu ndio ikasababisha goli
Naona kama tutakuwa na Silva hadi miaka 40 akiwa fit hivi hivi
Kamaliza miaka mitatu na Chelsea na tayari anaonekana Legend
Tangu aje tumekuwa na amani golini, hata Kepa anaonekana Kipa mzuri sasa
Pulisic na Ziyech hatuwataki kabisa, Mabadiliko hayo ni mengi mnoVs Wolves 343
-------- PULISIC --- AUBA --- ZIYECH -------
CHIL ----- ZAKARIA-----JORG ------CHEEK
---- CUCU -- KOULIBALY -- CHALOBAH --
Mount, Thiago, James, Sterling & Kovacic (Wapumzike kwa ajili ya mechi na Milan Jumanne)