Kuna goli kakosa la wazi kabisa kiazi huyuSterling ni takataka nyingine
Kuna goli kakosa la wazi kabisa kiazi huyuSterling ni takataka nyingine
Amecheza vizuri ila kwa level ya kawaida bado hajafika kwenye level yake kwenye level ya chilwel ungeona movement nyingi anafanya pale mbele, ungeona krosi za uhakika sasa hivi ametupa tu ubora wa ukabaji pekeeL:eo nimeona ile full form ya Chilwell, halafu naona akicheza wing-back ndio anacheza vizuri kuliko akicheza LB
Kah watu muna manenoKuna goli kakosa la wazi kabisa kiazi huyu
Kabisa mkuu hivi Papaa Gx uoni kabisa kazi anayofanya sterling?pale huyu ndio namuona angalau anadeliver something Mount ndio simuelewi kabisa Mount tangu huu msimu Huu uanze hana hata assist Moja na ni kiungo mshambuliaji kaxidiwa hadi na Thiago silva alafu sikuoni ukimsema Auba mechi nzima kapata clear chance 1 tu ndio ambayo kafungaHao jamaa ndio wanatutia uvivu wengi kuchangia humu
Kabisa mkuu hivi Papaa Gx uoni kabisa kazi anayofanya sterling?pale huyu ndio namuona angalau anadeliver something Mount ndio simuelewi kabisa Mount tangu huu msimu Huu uanze hana hata assist Moja na ni kiungo mshambuliaji kaxidiwa hadi na Thiago silva alafu sikuoni ukimsema Auba mechi nzima kapata clear chance 1 tu ndio ambayo kafunga
Kwa sababu ya 343, Chelsea haiwezi kucheza vizuri nje ya huo ulinzi shirikishiGame ya jana imenikumbusha game dhid ya Juve, Tulicheza vizuri sana na ndio ikawa game yetu ya mwisho kucheza vizuri ukiachana na zile game za fainal.
Loftus cheek jana kacheza vizuri sana.
Kitu kibaya jana ni Injury ya Fofana tu, mengine tutaendelea kuimprove kadri siku zinavyozidi kwenda.
Ukiangalia game ya Salzburg,Palace na ya Jana unaona kabisa kuna improvement ipo hasa katika upigaj wa pass za mbele na usharp wa kwenda mbele
Huo mpira unaousema hata goli lingefungwa alikuwa offsideSterling ni mpuuzi tu, anakokota mpira inafika wakati wa kutoa pasi anazingua.
Mada ilihusu home gamesJuzi tulibamizwa na juve 1-0
Nakumbuka pia katengeneza assist Bora huyo anauma na kupulizaSterling ni mpuuzi tu, anakokota mpira inafika wakati wa kutoa pasi anazingua.