Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bado naendelea kusoma mchezo wa Potter hasa kwenye kushambulia, angalau leo tunasema Pulisic kakosakosa magoli, huko nyuma hata mipira haifikii kama ya leo
 
Goal la Kai
1665241239647.gif
View attachment 2380829
 
Nyie kenge kwa nafasi mlizopoteza kipindi cha kwanza ikitokea hii game ikaisha kwa draw au kufungwa itabidi muachane na ushabiki wa mpira muende mkachunge ng'ombe.
 
Nyie kenge kwa nafasi mlizopoteza kipindi cha kwanza ikitokea hii game ikaisha kwa draw au kufungwa itabidi muachane na ushabiki wa mpira muende mkachunge ng'ombe.
Umekuja kuleta fitna sasa unajifitini mwenyewe
 
Hivi na nyie ze blauzi mnajihesabiaga mna timu!!??
Serious kabisa!!
Magalasa yaliyofeli timu zao yanakuja kuanza first eleven kwenye timu yenu!

Kiukweli Cheltako mmeishiwa
 
Sijabahatika kuangalia hii mechi.

Ila kwa Line up nilivyoiona na matokeo ninayoona livescore, haina budi kusema kocha Potter kuna kitu amekiongeza au kukiboresha kwa wachezaji.

Tusiseme Wolves ni wabovu kwa sababu tungekuwa tunacheza zile style za back pass kama zamani ingekuwa kazi kuongoza 2 - 0
Alichoongeza Potter ni ukatili kwenye kushambulia na pia naona pressing imeongezeka
 
Match zipo nyingi mzee.... unataka apange wachezaji walewale kila siku?

Huu mwezi pekee tulikuwa na match 9 kabla ratiba haijabadilika.
Leo ilikuwa pia ni fursa ya wachezaji wasiopata muda kudhihirisha kuwa wanaweza
Kwa mechi ya leo naona pulisic bado apewe mechi ndogo ili ajiongeze zaidi, kakosa nafasi nyingi sana
Broja pamoaj na kufunga ila bado movemenet zake kule mbele sio nzuri sana, haangaiki kutafuta chances nzuri lii apewe mipira kama wanavyofanya wenzake wa mbele
 
Kwa line up ya leo na tulivyocheza wow, sikutarajia kama tungecheza vizuri kiasi hich kwa aina ya line up tuliyoanza nayo.

Broja anastahil kuanza kama Auba haanzi basi broja aanze,.

Pulisic angekuwa makin angeondoka na hat trick first half,

Kwa jinsi kepa anavyocheza mendy inabid ajirekebishe kwa mpira wa GP, kepa yuko calm akiwa na mpira mguuni na hana papara nitofauti na mendy
 
Leo ilikuwa pia ni fursa ya wachezaji wasiopata muda kudhihirisha kuwa wanaweza
Kwa mechi ya leo naona pulisic bado apewe mechi ndogo ili ajiongeze zaidi, kakosa nafasi nyingi sana
Broja pamoaj na kufunga ila bado movemenet zake kule mbele sio nzuri sana, haangaiki kutafuta chances nzuri lii apewe mipira kama wanavyofanya wenzake wa mbele
Naona time wanayoingia ni kama game inakuwa ishaisha so inakuwa ngumu kwao kutengemezewa nafas
 
  • Mechi ya leo imeendelea kuonyesha kuwa Potter alikuwa the right coach kuja Chelsea
  • Katika mechi 4 alizosimamia kama kocha, Droo moja na kushinda mechi tatu mfululizo kwa mashindano yote
  • Clean sheet 2 mfululizo kwa Kepa, sasa naona Mendy atasugua bench sana kwa hii form ya Kepa
  • Chukwuemeka naona Debut yake leo japo dakika zilikuwa chache sana
  • Sansiro tunaenda katikati ya wiki with FULL CONFIDENCE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom