Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Naona tulimnunua ZAKARIA kama pambo.

Mwezi wa 2 huu bado anajitafuta kuwa ful fit
Alichukuliwa kwa dharura, ikitokea injuries za kupitiliza, ila pia kwa ajili ya sub na leo anaweza akapewa dakika chache
Mara nyingi makocha wanaangalia performance ya mchezaji kwenye mazoezi
Ndio maana baada ya kumuweka benchi juzi Potter alimsifia Koulibally kuwa anafanya vizuri kwenye mazoezi na leo kamuanzisha
Zakaria inawezekana hafanyi vizuri sana kwenye mazoezi
 
Mechi inaonyesha channel ipi hapa supersport ? Yaani Chelsea na AC Millan

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Suppersport wameonyesha ni Premium League lakini kwenye scheduled programs ya TV, DSTV wanaonyesha Premium Legue channel itakuwa ni mechi ya Man City
Chelsea itaonyeshwa kwenye channel ya Football + no. 222
 
343 ulinzi shirikishi, Kepa hana kazi ya kufanya, katikati kumetulia bila Jorginho, Cheek anaiweza kazi
 
CHELSEA v MILAN

This is the first time Chelsea and AC Milan have met in the Uefa Champions League since the 1999-2000 first group stage, with both games ending in draws, including a goalless draw at Stamford Bridge.

AC Milan’s only win over Chelsea was in February 1966 in the Inter-Cities Fairs Cup, winning 2-1 at the San Siro. That third round tie then went to a deciding game – a 1-1 draw – and Chelsea progressed via a coin toss.

Chelsea have only lost two of their 13 home European matches against Italian opponents (W8 D3), with both defeats coming in the Uefa Champions League: 1-2 v Lazio in March 2000 and 0-1 v Internazionale in March 2010.
Juzi tulibamizwa na juve 1-0
 
Mzunguko wa kwanza umeisha
Naamini mzunguko wa pili tunaweza funga hizi timu zote
Tutaanza mzunguko wa pili na AC Milan tarehe 11 Oct katika uwanja wa San Siro, droo tukipata inapendeza, ushindi itapendeza zaidi
 
1665004578490.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom