Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Achana n livescores hizo
Mara nyingi hizi lineups wanazikosea hata kwenye TV live wale warushaji wanataja lineup tofauti kabisa na inayochezwa uwanjani. Huwa wanaguess kulingana na kocha.

Naona leo Potter kaja na 4-2-2-2

Sterling na Mount viungo washambuliaji
Auba na Havertz 2 strikers
Ila Chilwell bado ni mzito kwenye kupasi na hii ni hatari golini. Hapo angemuweka Koulibally
Potter naona hapatani na Kou sijui kamtendea nini
 
Mbona amchangii chochote uzi utembei kabisa soka vipi linaeleweka.
 
Auba debut goal
Galagher EPL debut goal - hakushangilia kwa sababu alishajitengenezea wapenzi hapo
Viera anavyompenda Galagher, kafurahia lile goli japo timu yake imezamishwa
 
Kwanini Chelsea is struggling??? Worse even before spending $250m for acquiring new player.......tumeshinda ila mpira hauna mvuto wowote, Chelsea imekua kama team za middle league sidhani kama tutachukua trophy yoyote hata ile ya carabao
 
Kwanini Chelsea is struggling??? Worse even before spending $250m for acquiring new player.......tumeshinda ila mpira hauna mvuto wowote, Chelsea imekua kama team za middle league sidhani kama tutachukua trophy yoyote hata ile ya carabao
Unajua maana ya rebuilding???
Ukijua hiyo hutalalamika
Tutaendelea kuwa na inconsistence perfortmance hadi mambo haya matatu takamilike
  1. Wachezaji wazoeane - kujenga chemistry
  2. Kocha ajue nani anafaa wapi kwa wakati gani - positions, relationship na timing ya nani akianza ataleta matokeo na nani akiingia sub atabadili mchezo
  3. Viraka vilivyobakia vizibwe - hii ni pamoja na kumalizia kuondoa takataka zilizobaki
Baada ya hapo ndipo meli itakapotulia
Ndio maana tunasema Chelsea inahitaji minimum of 2 seasons ili hizo sajili zianze kutoa matunda
One season kuzoeana na anaother season kuziba viraka
 
Kwanini Chelsea is struggling??? Worse even before spending $250m for acquiring new player.......tumeshinda ila mpira hauna mvuto wowote, Chelsea imekua kama team za middle league sidhani kama tutachukua trophy yoyote hata ile ya carabao
Pengo la technical director, sajili za maana hatujawahi fanya kama misimu 5 nyuma tuna alot of mediocre player
 
Pengo la technical director, sajili za maana hatujawahi fanya kama misimu 5 nyuma tuna alot of mediocre player
Lugha rahisi usiumize kichwa, timu bado inafanyiwa rebuilding. Sio tu Technical director wako wengi, wengine wameajiriwa mwezi haujaisha wamefukuzwa, wengine hawajaajiriwa kabisa, nafasi muhimu za wacheza hazikujazwa. So wanaotaka matokeo ya haraka wahamie City ndio timu imekamilika. Sisi bado tunajenga nyumba
 
Sidhani kama ku-rebulid team kongwe kama Chelsea kinajifanya ionekane dhaifu kiasi hiki, hi team ina uwezo wa kununua first class players, ambao unakuja kumnunua huyu mchezaji kulingana na uwezo wake katika kitu fulani, baada ya kumtazama uko aliko.
huwezi kufanya majarabio ya wa chezaji kwenye fixure ya match day muhimu kama hi, wakati unashinda na wachezaji kila siku ya mazoezi na umekua na friendly matches zakutosha.

Tukabali au tu katae Potter ni mzuri ila viatu vya chalsea ni vikubwa kuliko mguu wake atatembe kdgo kwa kupapasuka na kuanguka.

Makacha wenye asili ya uingereza hawana farisafa za kisasa za mpira wengi wana bebwa na wachezaji eti 4-2-2-2 formant gani hiyo? kwa kweli ataua uwezo wa wachezaji wa chache tulio bakiza potter is gambling hana formant inao eleweka, kwa mfano iliingiza Loftus cheek na pulisic wafanye jipya gani?
 
Sidhani kama ku-rebulid team kongwe kama Chelsea kinajifanya iwe dhaifu kiasi hiki, hi team inauwezo wa kununua first class players, ambao unakuja kununua huyu mchezaji kulingana na uwezo wake katika kitu fulani, huwezi kufanya majarabio ya wa chezaji kwenye fixure wakati unashida na wachezaji kila siku na imekua na friendly matches zakutosha.
Tukabali au tukatae Potter ni muzuri ila viatu vya chalsea ni vikubwa kuliko mguu atatembe kdgo kwa kupapasuka na kuanguka.
Makacha wenye asili ya uingereza hawana farisafa za kisasa za mpira wengi wana bebwa na wachezaji eti 4-2-2-2 formant gani hiyo kwa kweli ataua uwezo wa wacheji wachache tulio bakiza potter is gambling hana formant inao ileweka, kwa mfano iliingiza Loftus cheek na pulisic wafanye jipya gani?
Abramovich alituzoesha matokeo ya haraka haraka, naona safari hii mashabiki wa kweli wa Chelsea watajulikana
 
Tutawakumbuka
1664642239465.png
 
Mpira ni victory+ trophies sio kitu kingine,
Msimu huu haitawezekana, msimu ujao ukiwezekana ni miracle, ligi hatuchezi wenyewe, wakati sisi tunarangaranag na midiocre players wao walikuwa wanajenga timu (Man City na Liverpool) sasa tumeshtuka wamejiimarisha. Tukubali na sisi tupitie phase ya rebuilding na kutofanya makosa tena, Rebuilding haifanyiki overnight. Inahitaji muda nimeeleza 3 aspects to consider
  1. Kuzoeana kwa wachezaji wapya
  2. Kocha kujua wachezaji na awatumiaje
  3. Kuziba viraka na kuwaondo takata na kuwaleta capable players
Tuspoheshimu hii phase tutabakia kuwa midtable team na tutaumia sana na mashabiki wasio wavumilivu kuhama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom