Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Declan rice ni mchezaji wa kawaida wakusema tujivunie nae ni Bora hiyo nafasi tumsajili Edson Alvarez au de jong ambao wapo vizuri zaidi ya huyo
De Jong forget, huyo ni mfia Barcelona, nimesikia ana mpango wa kunegotiate na timu juu ya kushusha mshahara wake
 
Chilwell hawezi ila James anaweza akacheza kama DM, hata Cucurella nazani na Fofana. CB wengi wanaweza kucheza kama DM
Nimeona mara kadhaa mawinga wamechezeshwa viungo na wanamudu sana kucheza hizo nafasi. Mfano Joshua Kimmich yule ni pure Wing lakini ameshacheza mara kadhaa kama kiungo, Trent naye mechi kadhaa alishahudumu kama kiungo. Hata Fede Velverde ni kiungo ila sasa hivi anachezeshwa kama winga. So naamini hata huyu Reece James ana uwezo wa kuhudumu kama kiungo ila shida sasa inakuja hakuna atayeweza kucheza nafasi yake
 
Hii taarifa sielewi kitu kimoja nkunku kasajiliwa teyari ni mali ya chelsea anasubiri msimu uishe ajiunge rasmi na Chelsea au Chelsea walikaribia hatua za mwisho wa kumsajili lakini dili likashindikana kukamilika katika hizi statement nilizoanisha ipi ni sahihi? Wadau nipeni ufafanuzi kwenye hili lembu Cash Money Forever Southern Highland
Hizo ni tetesi na hiyo statement ya kwanza ndio inakaribiana na ukweli ila sio ya pili
 
Nimeona mara kadhaa mawinga wamechezeshwa viungo na wanamudu sana kucheza hizo nafasi. Mfano Joshua Kimmich yule ni pure Wing lakini ameshacheza mara kadhaa kama kiungo, Trent naye mechi kadhaa alishahudumu kama kiungo. Hata Fede Velverde ni kiungo ila sasa hivi anachezeshwa kama winga. So naamini hata huyu Reece James ana uwezo wa kuhudumu kama kiungo ila shida sasa inakuja hakuna atayeweza kucheza nafasi yake
Yah ,naamini Reece akichezeshwa kama kiungo atasaidia Sana Maana Yuko vizuri kwenye kusukuma mashambulizi na creative passes Kule mbele
 
Hizo ni tetesi na hiyo statement ya kwanza ndio inakaribiana na ukweli ila sio ya pili
Hizo tetesi bado kidogo kugeuka kuwa good news
Tetesi zinaendelea kudai kashapimwa na kapelekewa mkataba wa muda mrefu na nasikia atausaini
Pia Chelsea wako kwenye negotiation kumsaini
Tukutane July 2023
 
Nimeona mara kadhaa mawinga wamechezeshwa viungo na wanamudu sana kucheza hizo nafasi. Mfano Joshua Kimmich yule ni pure Wing lakini ameshacheza mara kadhaa kama kiungo, Trent naye mechi kadhaa alishahudumu kama kiungo. Hata Fede Velverde ni kiungo ila sasa hivi anachezeshwa kama winga. So naamini hata huyu Reece James ana uwezo wa kuhudumu kama kiungo ila shida sasa inakuja hakuna atayeweza kucheza nafasi yake

Kimmich ni kiungo asilia na ndo the best nafasi yake.
Ila huwa anapangwa namba/nafasi tofauti coz yupo flexible kucheza any number in the back.
All in all ni DM
 
Kimmich ni kiungo asilia na ndo the best nafasi yake.
Ila huwa anapangwa namba/nafasi tofauti coz yupo flexible kucheza any number in the back.
All in all ni DM
Joshua Kimmich wakati anaanza soka alianza kama RWB baadae wakam transform kuja kucheza kama kiungo na nafasi nyingine
 
Fofana bado majeruhi, juzi alitoka USA kuchekiwa jeraha lake.
Hayuko kwenye orodha ya wachezaji walio injury
Mendy na Kante walikuwa injury na sasa wako mazoezini kwa ajili ya fitness
Cucurela na Chukwuemeka wanaumwa
So far ni hao wawili tu na sio injuries
 
Nimeona mara kadhaa mawinga wamechezeshwa viungo na wanamudu sana kucheza hizo nafasi. Mfano Joshua Kimmich yule ni pure Wing lakini ameshacheza mara kadhaa kama kiungo, Trent naye mechi kadhaa alishahudumu kama kiungo. Hata Fede Velverde ni kiungo ila sasa hivi anachezeshwa kama winga. So naamini hata huyu Reece James ana uwezo wa kuhudumu kama kiungo ila shida sasa inakuja hakuna atayeweza kucheza nafasi yake
Natural wingers hawawezi kucheza kiungo ila wide wingers na attacking mieldfilders hawana tofauti, uchezaji wao unafanana, so to say wide winger kucheza kiungo ni jambo la kawaida na ndio maana mchezaji kama Mount huwezi kujua kama ni winga au kiungo mshambuliaji kwa sababu anao uwezo wa kucheza eneo lote la uwanja kwenye final third. Natural winger wanawezo tu kucheza kiungo maalum. mfano Ziyech ni natural left footed, anafaa kulia tu au CAM ila Mount utamuona ni LW, RW, CAM, AM wa kushoto au AM wa kulia
 
Kwenye DM Declan Rice ni mzuri kuliko hao wote, sema Declan rice sio mzuri na sio mbunifu kwa kupeleka mipira ya mashambulizi, De Jong anaweza kumshinda kwa attacking phase, Alvarez simjui kwa undani
Kama tunamtaka DM tu wa kuwalinda CB Rice is the best option ila kama tunamtaka a multipurpose MF, De Jong anaweza kuwa bora. De Jong kwa pasi na kupeleka key passes ni better than Rice, ila kwa kulinda goli Rice ana pumzi ya kutawala eneo la hatari na ana uwezo mkubwa wa kublock au kufanya clean tackles kuliko hao wengine

Hizi screenshot mbili ni stats za attacking phase kwa msimu huu ambazo zinaonyesha De Jong ni mzuri sana kule mbele kuliko Rice
View attachment 2372778

View attachment 2372797

Hizi ni stats zinazoonyesha defensive ability ya hao wawili, Rice kamuacha mbali De Jong

View attachment 2372794
Tuachane na habar za Declan Rice, kuna mdi wqzur wako kuna yule mid ya borrusia monchengladbach koudao kone, kuna Enzo Fernandez yuko benfica hawa wote unawapata kwa bei chee na ni wazuri kuliko huyo Rice
 
Nimeona mara kadhaa mawinga wamechezeshwa viungo na wanamudu sana kucheza hizo nafasi. Mfano Joshua Kimmich yule ni pure Wing lakini ameshacheza mara kadhaa kama kiungo, Trent naye mechi kadhaa alishahudumu kama kiungo. Hata Fede Velverde ni kiungo ila sasa hivi anachezeshwa kama winga. So naamini hata huyu Reece James ana uwezo wa kuhudumu kama kiungo ila shida sasa inakuja hakuna atayeweza kucheza nafasi yake
Mkuu Kimmich hajawahi kucheza kama winga, yeye ni DM natural position yake, mara chache alicheza kama RB. Labda kwa sababu anapanda sana ukamchanganya na winger
Kwa asilimia 95% tangu aje Bayern Munich amekuwa akicheza kama Kiungo wa kushoto. Amecheza mara kadhaa kwenye RB position kati ya 2015/18 ila kuanzia nadhani 2018 hadi leo Kimich anacheza kama Kiungo upande wa kulia, spesifically DM, fuatilia utaona.
Pamoja na kwamba nimemfuatilia tangu 2015, sehemu kubwa ni DM ila pia ninatoa evidence ya stats zake kwa mechi 50 zilizopita
1664615833445.png
 
Hii ya Sterling kucheza wing back mnaonaje
Na Chilwell kucheza kama CB, duh
Chillwell angcheza nafasi yake na Sterling angecheza kama second striker
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom