OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Man shitye amedroo uko ..kila timu Ina struggle kupata ushindi, liverkuku amedroo ..saiv hakuna Cha timu ndogo wala kubwa.Kwa mbinde sana.
Man shitye amedroo uko ..kila timu Ina struggle kupata ushindi, liverkuku amedroo ..saiv hakuna Cha timu ndogo wala kubwa.Kwa mbinde sana.
Sasa mchiz boti tusipoingia top Foo Nana mwingine ataingia? Manure? Spurs? Hiyo top Foo itakuwa Ni batili mzee..😀😀😀Ila mchizi boti, jana ilikua bado kidogo maiti angemng'ang'ania sheh.
Maana mpaka dakika ya 70 mulikua tia maji tia maji.
Mushukuru yule Havart na kigoli chake cha bahatisha ndulute.
Ila big 4 mutaisikia kwenye tahatifa ya habari tu.
Wa kumsifia ni Chillwell, Kai bado Muda wa kumsifiaWale Timu Kai tujuane Mapema. Mchizi kwa pruvu ron mamluki![]()
Wale Timu Kai tujuane Mapema. Mchizi kwa pruvu ron mamluki![]()
Maneno ya tuchel kuhus gilmour kuondoka kwake.View attachment 2344911
Watu wanaokurupikia mpira ndio wa kwanza kuwaita wachezaji matakataka. Hivi hata kuna mwingine nilianza kuona Mount nae anaitwa takataka kwa sababu tu kazingua game kadhaa.Wale Timu Kai tujuane Mapema. Mchizi kwa pruvu ron mamluki![]()
Shida ya Gilmour ilikolezwa na TT preseason, alimdhalilisha sana kumrudisha kutoka USA etyi ili aje kufanya mazoezi na development squad.Mkuu tusifiche madudu wala kutetea upuuzi inapaswa tuseme ukweli. Inamaa wewe umeona ni sawa kwa Gilmour kuuzwa? Shida ya TT ni muoga sana na anawapa presha wachezaji wetu ndio maana wanafanya vibaya, Gilmour alipaswa kuaminiwa tu ata kama angekuwa anatokea benchi sawa tu ila sio kuuzwa. Ishu ya Gilmour kukataa kutolewa kwa mkopo ni sawa kabisa alipaswa kubaki hapo hapo kuna mashindano mengi hayohayo angecheza ata kama sio kuanza kwenye kikosi cha kwanza. Shida kocha lako ni lipuuzi sana, anashindwa kuamini madogo wa academy, nakwambia huyo Zakaria mtakuja kumkataa hamna kitu mule.
Unakuta kuna watu wanapenda kulaumu bila kuwa na information sahihiManeno ya tuchel kuhus gilmour kuondoka kwake.View attachment 2344911
Points zako zote ni sahihi kiongozi.Maoni juu ya mechi ya Jana by the way tulicheza kawaida Sana lakini Westham alitufanya tuonekane tumecheza ovyo kupita maelezo na hii ni kwasababu ya aina ya uchezaji wa Westham.Westham ndio team ninayoichukia Sana pale England inapack container la maana ukiwa unawashambulia wanarudi wachezaji wote nyuma wanabaki na striker mmoja tu mbele ndio maana njia nyingi zinakuwa zinazibiwa sisi tulitakiwa tukubali kutake risk kwa kuwalazimisha kuliko kurudisha mpira nyuma na kupiga side passes.
Tushukuru Benchilwell ametuokoa niliwahi kusema humid humu jamiiforum ben akiwa fit huyo Cucurella hawezi kumuweka benchi na si yeye pekee ligi nzima hamna left back mwenye ubora kumzidi Benchilwell watu wakanishambulia hulu wakisema Cucurella kashachukua namba.Kwanini nilitoa ile kauli Benchilwell sio tu left back ni footballer hii kauli inamaana gani? Mtu mwenye kuelewa mpira na anaujua mpira vizuri ndio maana baada yakupata injury tulikosa mbadala wake aliikost team kwasababu ukiachana na kujua kukaba, hamsa anapoenda mbele anageuka kutoka kuwa lwb pekee anakuwa anacheza kama attack midfielder anafanya movement ndani ya box zenye akili kitu ambacho kinasaidia kutengeneza space kwa wachezaji wengine na kuzifungua team zinacheza defensive game na ndio maana baada ya yeye kuumia tulistruggle Sana kwa team zinazocheza defensive game.
Cha muhimu point 3 na GD 1. Makofi kwetu tafadhali!Kwa mbinde sana.
Heshima inarudi taratibu, wanaoshindan nasi watashindwa na kufyata mikiaBreaking news
Goalkeeper tuliomsajili dirisha hili la usajili Gaga Slonina amefanya save 9 Kwenye mechi ya Jana dhidi ya Columbus crews nakusaidia team yake ya Chicago fire kuondoka na point I.
Keeper Huyo amesajiliwa na Chelsea kwa ada ya Pound 10M kutoka Chicago fire na amebakishwa hapo mpaka logo ya Marekani inapoisha ndipo anarudi darajani, teyari Gaga Slonina ameshafikisha clean sheet 16 hadi sasa na kuwa mchezaji wa umri mdogo akiwa ana umri wa 18 kufikisha idadi kubwa ya cleansheet.



. Auba ni mwafrika halisi....
.




Subiri leo unyolewe na nyumbuUkiona majadiliano ya humu utasema wana bonge la timu...
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Mkuulogi ndio imeanza kwanza Ni game ya tano hii ..tusubiri at least game 15 ndio tuanze kumjaji.Kisa alifunga? Kai bado ni takataka, goli lenyewe ni akili ya Broja imetumika.
