Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tatizo la Chelsea Chilwell ametuonyesha wazi, hakuna dynamicity wala kudhubutu, mipasi ya sideways, backward passes hadi dk zinapotea hadi mpinzani wako anakusoma udhaifu wako. Chelsea wanaremba mpira hadi ikafika 70% possesion halafu Westham wanatusanifu tu. Kona hadi kumi tunasanifiwa tu, wao wamepata moja wakaforce hadi ya tatu ikaleta goli. TT abadili hili, sio wachezaji ndio wa kubadilisha, kopcha atoe maagizo, tucheze kandanda la kuthubutu, Auba asipopelekewa mipira hatafunga
TT ni tatizo. Ni mwoga. Na hakuna mwoga anashinda vita. Uoga ameuambukiza hadi kwa wachezaji. Wanashindwa kufanya maamuzi sahihi kwa haraka. Mchezaji akipata mpira anababaika hadi huruma. Gallagher will struggle. Uoga wa TT hautamsaidia yeye wala timu. Pathetic!
 
Odoi kaingia kama sub lakini ndani ya dk 4 tu katoa assist
Screenshot_20220903-201611_OneFootball.jpg
 
TT ni tatizo. Ni mwoga. Na hakuna mwoga anashinda vita. Uoga ameuambukiza hadi kwa wachezaji. Wanashindwa kufanya maamuzi sahihi kwa haraka. Mchezaji akipata mpira anababaika hadi huruma. Gallagher will struggle. Uoga wa TT hautamsaidia yeye wala timu. Pathetic!
Ukweli kabisa yani mpaka sasa TT hajui kikosi cha kumpa matokeo ana bahatisha tu
 
Broja mzuri basi tu kocha anashindwa kumpa nafasi ilipaswa aanze leo
Kumbuka broja hakupata pre season kwa sababu ya majeruhi,
Nahisi sababu ni kutaka kumuingiza kikosini kidogo kidogo.

Ndio maana kadri siki zinaenda ndio muda wake unaongeza
 
TT ni tatizo. Ni mwoga. Na hakuna mwoga anashinda vita. Uoga ameuambukiza hadi kwa wachezaji. Wanashindwa kufanya maamuzi sahihi kwa haraka. Mchezaji akipata mpira anababaika hadi huruma. Gallagher will struggle. Uoga wa TT hautamsaidia yeye wala timu. Pathetic!
Galagher ni kama anatumia nguvu nyingi kutaka kuprove kitu, rather atulie acheze mpira,
Leo kuna mda yuko na mpira anakaa nao mpka anapoteza, mpk tt akawa anafoka hovyo

Galagher inabidi atulie acheze kwa kujiamini rather than kutumia nguvu kutaka kuonesha
 
Odoi kaingia kama sub lakini ndani ya dk 4 tu katoa assist View attachment 2344724
Odoi alikuwa hapa kabla hata ya tuchel, tangu wakat wa sarri ila leo hii tunataka kumpa tt lawama???

Odoi anapotential ila bado hajajua kuitumia hiyo potential yake.

Ukimuangalia Saka anamda mfupi kwenye premier ila unamuona kabisa ashakuwa mature kuliko odoi
 
So mendy pale alishindwa kuudaka ule mpira ??? Kuna tumakosa mendy anafanya leo ashukuru VAR, tofaut na hivyo ule mpira alikuwa anadaka sio wa kupangua
 
Odoi alikuwa hapa kabla hata ya tuchel, tangu wakat wa sarri ila leo hii tunataka kumpa tt lawama???

Odoi anapotential ila bado hajajua kuitumia hiyo potential yake.

Ukimuangalia Saka anamda mfupi kwenye premier ila unamuona kabisa ashakuwa mature kuliko odoi
Odoi asingeumia wakati wa Lamps angekuwa na confidence ya hali ya juu. TT hatakwepa lawama kwasababu ya kutoamini wachezaji wake. Anataka matokeo ya haraka. Ndio maana kamuuza Billy Gilmour. Hayuko tayari kumtengeneza. Ndege bila kukimbia runway haiwezi kunyanyuka. Kwanini Gallagher alipokuwa Palace alicheza vizuri na kwa kujiamini kuliko sasa? Kocha wake alimuamini na kumpa confidence. Wewe mwenyewe ulimuona Gallagher leo, decision making yake ilikuwaje. Kwanini akae na mpira hadi anaupoteza? Kuna vitu vingi vinatembea kichwani mwake: kwamba nikifanya hivi au vile huenda nitakosea. He wants to impress lakini hajui afanye nini aweke impression. Kocha yupo kwenye touchline anarap na kurusha mikono hewani kama anakemea mapepo.

Saka anaaminiwa na kocha wake. Anamwambia go and perform, enjoy your game. You've my backing. Unatarajia afanye vibaya? Hata hao under 23 ukiwatupa uwanjani umewajaza morali watafanya maajabu. Sisi kocha wetu ana mashaka saa zote, wachezaji wake watatuliaje. Labda sasa hivi kwenda mbele atatulia kwasababu amepata wachezaji aliowataka yeye.

Uliangalia game ya Aston Villa na Mancs? Uliona Gerald akibwekabweka hovyo? Aliwaaminisha wachezaji wake kwamba Mancs wanafungika ndio maana walijituma sana na kuwa na discipline ya hali ya juu.
 
Odoi asingeumia wakati wa Lamps angekuwa na confidence ya hali ya juu. TT hatakwepa lawama kwasababu ya kutoamini wachezaji wake. Anataka matokeo ya haraka. Ndio maana kamuuza Billy Gilmour. Hayuko tayari kumtengeneza. Ndege bila kukimbia runway haiwezi kunyanyuka. Kwanini Gallagher alipokuwa Palace alicheza vizuri na kwa kujiamini kuliko sasa? Kocha wake alimuamini na kumpa confidence. Wewe mwenyewe ulimuona Gallagher leo, decision making yake ilikuwaje. Kwanini akae na mpira hadi anaupoteza? Kuna vitu vingi vinatembea kichwani mwake: kwamba nikifanya hivi au vile huenda nitakosea. He wants to impress lakini hajui afanye nini aweke impression. Kocha yupo kwenye touchline anarap na kurusha mikono hewani kama anakemea mapepo.

Saka anaaminiwa na kocha wake. Anamwambia go and perform, enjoy your game. You've my backing. Unatarajia afanye vibaya? Hata hao under 23 ukiwatupa uwanjani umewajaza morali watafanya maajabu. Sisi kocha wetu ana mashaka saa zote, wachezaji wake watatuliaje. Labda sasa hivi kwenda mbele atatulia kwasababu amepata wachezaji aliowataka yeye.

Uliangalia game ya Aston Villa na Mancs? Uliona Gerald akibwekabweka hovyo? Aliwaaminisha wachezaji wake kwamba Mancs wanafungika ndio maana walijituma sana na kuwa na discipline ya hali ya juu.
Odoi aliumia wakat wa Sarri tena ilikuwa game dhid ya Burnley kama sijakosea,
Odoi amekuwa chini ya Lampard kwa 1½ yr ila hakuna alichokifanya

Chelsea huwa hakuna subira, kocha anademand result, mashabiki wenyewe tu humu hamuamini kwenye rebuilding mnataka matokeo, wakat wa sarri,lampard ambao walikuwa wanataka wafanye rebuildimg ila watu mnataka matokeo.

Case study liverpool wakat wanamuappoint klopp. Au arsenal wakat wanamuappoint arteta hawakutaka matokeo ya haraka ,je sisi mashabiki tuko tayar kukaa hata 3 season bila kombe or kushiriki ucl,

Umeskia Conference ya jana ya TT khs Gilmour? Au ndio lawama hata katika issue ambazo hawez kuzihukumu.


Pep,Jose,Klop,Conte huwa huwaoni wakiwa touchline??? Pep hadi chupa za maji anatupa,
Yani kocha akibweka ni vibaya aah au mchezaj amekosea upige makofi kila kocha anastyle yake muangalie pep akiwa katika touchline au Klop unahisi huwa wamekaa kimya pale mtu akikosea au tafuta documemtary ya man city ha amazon uone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom