Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Man shitye amedroo uko ..kila timu Ina struggle kupata ushindi, liverkuku amedroo ..saiv hakuna Cha timu ndogo wala kubwa.
Pumbavu, kumbe umeliona hilo enhee!
Ligi ya msimu huu bado haija eleweka.

Naona maajabu hapa Lecester anapasuka 4 kwa 2 hapa na haka katimu duanzi BHA.

Ligi ya msimu huu hata akichukua Brentfood sinta shangaa.
 
Sasa mchiz boti tusipoingia top Foo Nana mwingine ataingia? Manure? Spurs? Hiyo top Foo itakuwa Ni batili mzee..
Poa mchizi boti, tukutane kibanda umuza, nina jambo nataka kulitenda mida ya jioni hii.

Siunajua siku hizi tunaangali pointi tatu, ngoja nikachukue pointi 3 zangu kwanza.
 
Pumbavu, kumbe umeliona hilo enhee!
Ligi ya msimu huu bado haija eleweka.

Naona maajabu hapa Lecester anapasuka 4 kwa 2 hapa na haka katimu duanzi BHA.

Ligi ya msimu huu hata akichukua Brentfood sinta shangaa.
Kocha Rogers Hana maisha marefu anaweza akatimuliwa kwa mechi ya Leo au ijayo anafukuzwa kazi. Goli 5 sio mchezo na kiujumla timu goigoi sana
 
Naskia body ya ligi wameagiza maamuzi ya var ya kuwanyima West Ham goli la pili la kusawazisha liangaliwe upya, tusishangae tukanyang'anywa ushindi na kupewa sare.
 
Naskia body ya ligi wameagiza maamuzi ya var ya kuwanyima West Ham goli la pili la kusawazisha liangaliwe upya, tusishangae tukanyang'anywa ushindi na kupewa sare.
Mambo hayo yanatokea huku kwetu undengerekoni tu, huko Duniani mambo hayo hayapo.
Kitacho tokea hapo ni refa kuadhibiwa (labda) lakini sio kupokwa pointi.
 
Naskia body ya ligi wameagiza maamuzi ya var ya kuwanyima West Ham goli la pili la kusawazisha liangaliwe upya, tusishangae tukanyang'anywa ushindi na kupewa sare.
Sidhani kama watafanya hivyo, watafanya kwa maboresha sio kubadili matokeo. Na hata wakichunguza ni kweli Mendy aliparuzwa na kupigwa kifuani na Bowen tena kwa makusudi ili asifuate mpira. Nashnag kwa nini refa hakumpa hata njano
 
Hakuna kitu Cha namna hii kwenye football,hapa atakayeliwa kichwa ni referee tu ....
Kwa nini aliwe kichwa, wataliwa vichwa wangapi, hicho kitu hakipo kwenye soka. Kama watagundua madhaifu ni ili waboreshe sheria za VAR basi ikaishia hapo. Ingekuwa ni hivyo Antony Tylor angeshaliwa kichwa chake mara nyingi huko nyuma
 
Matokeo ya VAR hata kama wakichunguza haitabadili matokeo, Refa hata kuonywa hataonywa na hawataweka public hayo matokeo ya uchunguzi, itakuwa siri yao. So sisi tuendelee na maisha ya ushabiki.
 
Halafu hata Moyes nimesoma mahali kwamba hataadhibiwa na FA kwa comment zake kuhusu refa na watu wa VAR. Wamesema maoni yake hayajakidhi vigezo vya kuweza kupewa adhabu
 
Maoni juu ya mechi ya Jana by the way tulicheza kawaida Sana lakini Westham walitufanya tuonekane tumecheza ovyo kupita maelezo na hii ni kwasababu ya aina ya uchezaji wa Westham.Westham ndio team ninayoichukia Sana pale England inapack container la maana ukiwa unawashambulia wanarudi wachezaji wote nyuma wanabaki na striker mmoja tu mbele ndio maana njia nyingi zinakuwa zinazibiwa sisi tulitakiwa tukubali kutake risk kwa kuwalazimisha kuliko kurudisha mpira nyuma na kupiga side passes.

Tushukuru Benchilwell ametuokoa niliwahi kusema humu humu jamiiforum ben akiwa fit huyo Cucurella hawezi kumuweka benchi na si yeye pekee ligi nzima hamna left back mwenye ubora kumzidi Benchilwell watu wakanishambulia humu wakisema Cucurella kashachukua namba.Kwanini nilitoa ile kauli Benchilwell sio tu left back ni footballer hii kauli inamaana gani? Mtu mwenye kuelewa mpira na anaujua mpira vizuri ndio maana baada yakupata injury tulikosa mbadala wake aliikost team kwasababu ukiachana na kujua kukaba, hasa anapoenda mbele anageuka kutoka kuwa lwb pekee anakuwa anacheza kama attack midfielder anafanya movement ndani ya box zenye akili kitu ambacho kinasaidia kutengeneza space kwa wachezaji wengine na kuzifungua team zinacheza defensive game na ndio maana baada ya yeye kuumia tulistruggle Sana kwa team zinazocheza defensive game.
Papaa Gx
juan david
Naunga na wewe Ben chilwel ameprove kwamba yeye ni mchezaji wa kipekee sana.

Cucurella ana kazi ya ziada

Ben sio tu kukaba Bali hata kushambulia na kufunga kwakwe ni vitu vya kawaida sana.

Anyway ni vizuri tukawa na two LWB wenye ubora once mmoja akiumia tunaweza mtegemea mmoja.

Naona Reece Kamweka ramsi benchi Azpi

Azpi kwa Sasa yeye ni second option hata yeye analijua Hilo ndio maana hakasiriki
 
Turudi kwenye uchambuzi wa soka hasa mimi nimuelezee tena Christian Eriksen
Tulipohoji kwa nini Chelsea haikumchukua huyu mheshimiwa na alikuwa bure sokoni, kuna watu hapa hata hawajui mpira wakamponda sana
Ericksen kaibadilisha ile attacking department ya Man U na jana alihusika na magoli yote matatu

Alitoa pasi nzuri kabla hajafanyiwa rafu kwa Bruno ambaye naye alimpasia Rashford aliyempa assist ya kijanja Antony kufunga goli la kwanza
Alianzisha move kupeleka mpira kwa Bruno ambaye naye akamuassist Rashford kufunga goli la pili
Pia Ericksen alichomoka vizuri bila kuotea bila ubinafsi akampa assist Rushaford kwa goli la tatu

For me man of the match ni Eriksen kwa mechi ya jana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom