Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Odoi asingeumia wakati wa Lamps angekuwa na confidence ya hali ya juu. TT hatakwepa lawama kwasababu ya kutoamini wachezaji wake. Anataka matokeo ya haraka. Ndio maana kamuuza Billy Gilmour. Hayuko tayari kumtengeneza. Ndege bila kukimbia runway haiwezi kunyanyuka. Kwanini Gallagher alipokuwa Palace alicheza vizuri na kwa kujiamini kuliko sasa? Kocha wake alimuamini na kumpa confidence. Wewe mwenyewe ulimuona Gallagher leo, decision making yake ilikuwaje. Kwanini akae na mpira hadi anaupoteza? Kuna vitu vingi vinatembea kichwani mwake: kwamba nikifanya hivi au vile huenda nitakosea. He wants to impress lakini hajui afanye nini aweke impression. Kocha yupo kwenye touchline anarap na kurusha mikono hewani kama anakemea mapepo.

Saka anaaminiwa na kocha wake. Anamwambia go and perform, enjoy your game. You've my backing. Unatarajia afanye vibaya? Hata hao under 23 ukiwatupa uwanjani umewajaza morali watafanya maajabu. Sisi kocha wetu ana mashaka saa zote, wachezaji wake watatuliaje. Labda sasa hivi kwenda mbele atatulia kwasababu amepata wachezaji aliowataka yeye.

Uliangalia game ya Aston Villa na Mancs? Uliona Gerald akibwekabweka hovyo? Aliwaaminisha wachezaji wake kwamba Mancs wanafungika ndio maana walijituma sana na kuwa na discipline ya hali ya juu.
Umeongea Point TT anafanya wachezaji wanakuwa na presha sana wanakosa kujiamini kabisa
 
EXCL: Chelsea recruitment chief Scott McLachlan has left club. Gone on own terms to take up exec-level role elsewhere in football. Last day yesterday - 3 months gardening leave. Goes with #CFC blessing after 11 years integral to operation @TheAthleticUK
 
Kitu hicho
1662236062337.gif
 
Odoi aliumia wakat wa Sarri tena ilikuwa game dhid ya Burnley kama sijakosea,

Umeskia Conference ya jana ya TT khs Gilmour? Au ndio lawama hata katika issue ambazo hawez kuzihukumu.


Pep,Jose,Klop,Conte huwa huwaoni wakiwa touchline??? Pep hadi chupa za maji anatupa,
Yani kocha akibweka ni vibaya aah au mchezaj amekosea upige makofi kila kocha anastyle yake muangalie pep akiwa katika touchline au Klop unahisi huwa wamekaa kimya pale mtu akikosea au tafuta documemtary ya man city ha amazon uone
Odoi kuanzia kipindi cha Sari, Lamps na TT amekaa nje ya uwanja zaidi ya siku 300 kutokana na majeruhi. Kwa kipindi cha TT akirudi kutoka majeruhi, Odoi hakuingia tu golini kudaka lakini nafasi zingine zote za uwanjani alicheza . Sasa hapo mtu atatoa mchango wa kueleweka kweli? You become a jack of all treads but master of none.

TT alimlaumu BG kwamba hakufanya kile alichotarajiwa kukifanya. BG angefanyia wapi hicho alichotarajiwa akifanye wakati hata preseason alifukuzwa first team akaenda kucheza na under 17.
 
TT ni bonge la fala, kumuuza Gilmour imefanya nimchukie sana.
Odoi kuanzia kipindi cha Sari, Lamps na TT amekaa nje ya uwanja zaidi ya siku 300 kutokana na majeruhi. Kwa kipindi cha TT akirudi kutoka majeruhi, Odoi hakuingia tu golini kudaka lakini nafasi zingine zote za uwanjani alicheza . Sasa hapo mtu atatoa mchango wa kueleweka kweli? You become a jack of all treads but master of none.

TT alimlaumu BG kwamba hakufanya kile alichotarajiwa kukifanya. BG angefanyia wapi hicho alichotarajiwa akifanye wakati hata preseason alifukuzwa first team akaenda kucheza na under 17.
 
Odoi kuanzia kipindi cha Sari, Lamps na TT amekaa nje ya uwanja zaidi ya siku 300 kutokana na majeruhi. Kwa kipindi cha TT akirudi kutoka majeruhi, Odoi hakuingia tu golini kudaka lakini nafasi zingine zote za uwanjani alicheza . Sasa hapo mtu atatoa mchango wa kueleweka kweli? You become a jack of all treads but master of none.

TT alimlaumu BG kwamba hakufanya kile alichotarajiwa kukifanya. BG angefanyia wapi hicho alichotarajiwa akifanye wakati hata preseason alifukuzwa first team akaenda kucheza na under 17.
Only position alizowah pelekwa ni Rwb/Lwb, Rw ashawah cheza Europa League wakat Hazard bado yupo hata kwenye game dhid ya burnley aliyoumia alikuwa Rw,


Sasa unaposema positio. Zote kacheza zipi hizo na ilikiwa game ipi ambazo TT alimpanga odoi tofaut ma position nilizotaja hapo juu

Mbona hata hamjamlaum billy, in short billy hakuwa na loan nzuri norwich sio kama loan aliyokuwa nayo Galagher o broja palace n southamptom respectively, so ilitakiwa billy aende tena loan msim huu before hajaingi kwenye mid yetu. Ila billy hakutaka kwenda mkopo.
Cheki hiyo pic

View attachment 2344914
View attachment 2344916
 
Odoi kuanzia kipindi cha Sari, Lamps na TT amekaa nje ya uwanja zaidi ya siku 300 kutokana na majeruhi. Kwa kipindi cha TT akirudi kutoka majeruhi, Odoi hakuingia tu golini kudaka lakini nafasi zingine zote za uwanjani alicheza . Sasa hapo mtu atatoa mchango wa kueleweka kweli? You become a jack of all treads but master of none.

TT alimlaumu BG kwamba hakufanya kile alichotarajiwa kukifanya. BG angefanyia wapi hicho alichotarajiwa akifanye wakati hata preseason alifukuzwa first team akaenda kucheza na under 17.
Lampard kaja msim wa 2019/20- 2020/21 january katika kipindi alichokaa lampard odoi kamiss game zisizozidi 15 ty katika all competition, .


Nitajie positio aliyopangwa odoi tofauti na hizi lw,rw,rwb/lwb , na ilikuwa game gani alichezeshwa nje ya hizo nafasi
Screenshot_20220903-235827_Chrome.jpg
 
Kesho mchizi boti fanya kweli piga zile mbuzi arse8.
Umeona Leo wewtham amekaa ..wewe huyiogopi Chelsea wewe?
Ila mchizi boti, jana ilikua bado kidogo maiti angemng'ang'ania sheh.

Maana mpaka dakika ya 70 mulikua tia maji tia maji.

Mushukuru yule Havart na kigoli chake cha bahatisha ndulute.

Ila big 4 mutaisikia kwenye tahatifa ya habari tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom