Hiki kikosi nichakuchukua kombe lolote
Nisipomuona Kai kwenye final third lineup nakuwa na ka- raha fulani hivi.
Hiki kikosi nichakuchukua kombe lolote



Leo na nyundo zenu mtachambia maji ya chumviSijui nacheka nini any way wagonga nyundo wa London tupige pale pale kwenye mshono viva west ham![]()




At least tumepata DM hayo mengine tutaona..maana game ambayo ilionyesha tunauhitaji WA DM n vs Soton aiseeMbona kama Bakayoko hivi?
Acha chuki n umbea mkuuKwahiyo mmekubali kusajili flop iliyofeli EPL mwenye uzee wa miaka 33.
Hizi NSSF hazitoisha!
Karibu sana. Natumai ni heri huko ulikopoteleaMuko nafasi ya ngapi vibonde?
Tulikuwa jandoniNyie kenge mnavyosema leo ndio mnaanza ligi, kwani mwanzo mlikua wapi?

Havert nje auSterling
Pulisic
Cucurella
Kovacic
Gallagher
Cheek
James
Koulibally
Silva
Fofana
Mendy