Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1662127280574.png
 
Mkuu usitumie kigezo cha umri peke kupima uwezo wa striker hapana kuna vipimo vingi hususani katika Epl uzoefu ni muhimu sanaa, na siku hizi mpira umebadilika sanaa, kuna wenye umri mdogo wame shindwa mpira mapema, na kustaafu ........kwa mfano angalia Mount pamoja na kua na 24yrs anatafuta form kama mchezaji wa miaka 35.
Mount ana 23yrs hadi January, 10 ndio anafikisha 24, pili huyu usimjudge hata kidogo, timeline ya yeye kuteremka form ni ndogo sana na bado yuko kwenye umri wa kukua kimpira

Kama unalinganisha labda umtumie Diego Costa aliyeshuka haraka na kupotea kwenye ufungaji

Mwisho maneneo yangu ni ya tahadhari tu
 
Tumepoteza mechi mbili tu tena sio mfululizo, mara nyingi huko nyuma kocha anatimuliwa kwa kukosa mechi nyingi mfululizo.

Mkuu bingwa wa epl hapotezi mechi 5, bado hamjacheza big mechi yoyote umeshapoteza mechi 2 tayari.

Mnajiondoa kwenye ubingwa labda kama hamna mpango na ubingwa.

Mara nyinyi bingwa anafungwaga mechi 3 msimu mzima sasa nyinyi mwanzoni tu mechi 2 tayari.

Nilitabiri msimu ulioisha kwamba tuchel msimu huu mtamfukuza.Dalili zote naziona
 
Wanachelsea wenzangu mnakubali kuwa namab 9 imelaaniwa Chelsea?

1662129991667.png
 
Mkuu bingwa wa epl hapotezi mechi 5, bado hamjacheza big mechi yoyote umeshapoteza mechi 2 tayari.

Mnajiondoa kwenye ubingwa labda kama hamna mpango na ubingwa.

Mara nyinyi bingwa anafungwaga mechi 3 msimu mzima sasa nyinyi mwanzoni tu mechi 2 tayari.

Nilitabiri msimu ulioisha kwamba tuchel msimu huu mtamfukuza.Dalili zote naziona
Wewe naona umepotea njia, soma thread ilipoanzia halafu urudi tena kuchangia, safari hii kwa ustaarabu zaidi
 
Kutoka kwenye press conference ya tuchel.
Zacharia kesho hatokuwepo kutokana na kukosa kibali cha kazi bali anamtegemea kuwepo kwenye game ya uefa dhid ya zagreb na jmos dhid ya fulham

Aubameyang hatokuwepo kesho ila anategem3a wiki ijayo kuanza mazoezi baada ya kupata mask.
 
Natoa tahadhari
Tusiwe na mahopes mengi kwa Aubameyang kwa sababu huyu Aubameyang wa Chelsea sio yule wa Borussia Dortmund wa 2018 au wa Arsenal wa 2021 aliyekuwa anafunga hadi magoli 20+, Huyu wa kwetu ana miaka 33, ni wachezaji wachache katika umri huo wanaweza kumeintain pace, na uklatili golini
Najua fika hatakuwa kama Lukaku, Batshuayi au Havertz atatupa magoli zaidi ila sitegemei wonders kwake
Najua pia kuwa wanaweza wakaform partnership nzuri na Sterling na Ziyech** au Mount form yake ikirudi
Pia najua atashirikiana vyema na akina Kante Cucurella na James hao wachezaji niliowataja ndio nawaamini wanaweza kumpa ushirikiano. Ziyech akiondoa mentality mbaya nba kuanza ukurasa mpya chini ya Chelsea mpya anaweza akamalizia career yake Chelsea kwa uzuri ila akiendelea kudeka January itabidi asepe
Sidhani kama umri wa Auba ni tatizo. Mbona Lewandoski (33) bado anakimbiza? CR7 msimu ulioisha (37) pamoja na kwamba Man U hawakuingia top 4 alifunga 20+? Ibrahimovich anaenda 40+ na bado anamchango wa magoli kwa timu yake? Vijana wadogo tulionao na umri wao hakuna aliyefikisha 2 digits consistently.
 
Sidhani kama umri wa Auba ni tatizo. Mbona Lewandoski (33) bado anakimbiza? CR7 msimu ulioisha (37) pamoja na kwamba Man U hawakuingia top 4 alifunga 20+? Ibrahimovich anaenda 40+ na bado anamchango wa magoli kwa timu yake? Vijana wadogo tulionao na umri wao hakuna aliyefikisha 2 digits consistently.
Huyu ni Mwafrika,ukisikia ana 33 basi jua ni 40+
 
Vyombo vya habari vya Ulaya vinachochea sana kufanya ushawishi wa kuwahamisha wachezaji. Jinsi walivyokuwa wanaandika kuhusu Gallagher na Broja unaweza kufikiri wanaondoka kweli.
Screenshot_20220902-222544_OneFootball.jpg
 
Ambao hawatakuwepo kwenye mechi na Westham kesho ni watatu, Ngolo Kante, Aubameyang na Denis Zakaria
1662150335604.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom